Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Toa fact wa hao wawekezaji walio kimbia sio maneno mzee kama wakinakigogo
We Vipi? Kwa hiyo kila mtu ambaye hukubaliani Naye yupo kama Kigogo? Na Nitoe “fact” gani? Niliyemuuliza ndiyo atoe “fact” na kama huwezi unaweza kumsaidia Kwa kujibu swali nililiouliza.
 
huyu alikua anti Magufuli ndo maana hata kuna kipindi akaamua awe kando na jukwaa anyway najua yapo mazuri mama atafanya kama ambavyo awali nilisema kua watu wa Zanzibar ni waungwana sana tatizo lipo huku anakowafanyia uungwana maana watamfelisha asipowakazia.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Itafahamika tu soon mana kasi ya mama ktk kubadili yote ya awamu ya tano ni dhahiri but tutarudi hapa tukiwa na jibu moja kwamba pesa zitaonekana mtaani lkn bureaucracy itaongezeka maradufu, hii nchi imechezewa sn ilipaswa ipitie magumu tuliyopitia enzi za Magu zen tuishi maisha bora ya kweli, hata wenzetu walioendelea hawakuendelea kirahisi rahisi tu eti kila kitu ulegeze.

Unatamka kabisa hadharani kwamba mwekezaji asikilizwe, eti sisi ndiyo tunaowahitaji zaidi kuliko uhitaji wao kwetu, mwekezaji gn anapenda kulipa kodi? Mm yangu macho na natabiri huyu mama kuendelea kutoa boko kadri siku zinavyozidi kwenda, subiri muone, we unadhani uongozi mchezo, hizi nchi za kiafrika zinahitaji viongozi waliojitoa sadaka na co viongozi wa kucheka cheka tu na vimisemo misemo, hizi nchi ndizo shamba la bepari so lazima uwe kauzu.

Halafu km utachunguza vzr msimamo wa VP na President ni tofauti, ss sijui itakuwaje yn.
 


Hvi wadau nisaidieni ni mahusiano gani yaliyokua yameyumba aisee au ndio tunarudi kwenye fikra tegemezi za enzi zile mambo ya kubembelezeana na kusujudiana

Wewe subiri tu, utasikia wale wote walioondolewa vyeti feki wanalipwa fidia na kurudishwa kazini😝
Uko myopic kwenye mambo ya uchumi. Hili Ndio jambo ninalolizungumzia. Ni furaha kuonekana kuwa kodi zinakusanywa nyingi kupita miezi mingine lakini unafahamu biashara ngapi zinakufa kutokana na ukusanyaji huo wa kodi? Na biashara zikifa unadhani ukusanyaji wa kodi utaendelea kuwa mzuri au mbaya?

Halafu kuhusu bomba la mafuta, unafahamu ni sababu gani bomba lilihamishiwa kutoka Kenya kuja Tanzania? Kwasababu route ya Tanzania ina gharama ndogo za ujenzi kuliko route ya Kenya na Tanga port tayari inafanya kazi tofauti na Lamu port ambayo bado inajegwa. Halafu pia bandari ya Lamu ipo karibu na Somalia, kulikuwa kuna hofu ya uvamizi wa Al-Shabab!
Kama biashara zina kufa mapato yanatokea wapi, kipindi kile biashara hazifi ndio tulikuwa tunakusanya 800b.
 
huyu alikua anti Magufuli ndo maana hata kuna kipindi akaamua awe kando na jukwaa anyway najua yapo mazuri mama atafanya kama ambavyo awali nilisema kua watu wa Zanzibar ni waungwana sana tatizo lipo huku anakowafanyia uungwana maana watamfelisha asipowakazia.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
.... Jirekebisheni.......
..... Jitahidini.......
....... Naomba......
...... Liangalieni.....
...... Jaribuni.....

🚮🚮🚮🚮🚮
 
Sijapinga Methods za Magufuli hata kidogo. Na alikuwa kiongozi mzuri kuhakisha rasilimali zinanufaisha watanzania. Lakini ngoja nikuulize Swali. Unasema kwamba siku zote Magufuli alikuwa na Plan B. Unadhani kwenye suala la kuzorota kwa hali ya uwekezaji alikuwa na plan gani up his sleeve??
Nitasema sijui lakini nitakuambia hivi he would NEVER let it be a reason for TANZANIA'S to be on disadvantage side... some how angetafuta namna na sisi tufaidi in relationship. Kumbuka yeye alikua anaiangalia Africa kama his main beneficiary. African continent is a growing continent na yeye alitaka ku exploit that.. masoko ya njee ya africa yana faida lakini hot cake ni Africa it self. We uoni alitaka kwanza kuunganisha africa yenyewe coz alijua huku ndo kwa kutobolea. Tanzania tukia ndo giant's on trade then ndo tutakua main hub of whole africa. Kwaio we jua tu for some of companies ambazo hazi amba na philosophy yake there wasn't any other way but to leave... but let us not act kwamba kulia hakuna more big firms zilitaka ku invest TZ just by trajectory Magu alikua anaenda nayo..
 
mama .. mambo mengine yote nitamvumilia ila akiruhusu watu kufanya migomo, mikutano ya siasa pale wapinzan wanapojisikia nadhan hapo atakuwa amevuka upole..

mim naona siasa ndo zinatuchelewa kwenye maendeleo.. watu badala tufocus kwenye kufanya kazi, tukakuwa tuko busy kufatilia fujofujo za maandamano
 
But I still believe Mama atafanya kilicho sawa. Atakama hatokua na the same cerliber ya Mzee Mangu but she's still our Tanzania president n I believe she loves her country as we all do... kwaio tuendele kuchapa kazi. I believe kazi ya mzee haito go to waste in God's name Amen🙏🏾... let's keep the vision on tutafika wakuuu trust me.. love you Tanzania, Love you Africa ❤
 
We Vipi? Kwa hiyo kila mtu ambaye hukubaliani Naye yupo kama Kigogo? Na Nitoe “fact” gani? Niliyemuuliza ndiyo atoe “fact” na kama huwezi unaweza kumsaidia Kwa kujibu swali nililiouliza.
Najiuliza kwanini wafarisayo walimfuata mpaka Bwana Yesu kuuliza kuhusu kodi, akasema vya kaisari apewe kaisari na vya Mungu apewe Mungu. Nafikiri walikuwa pia wakichukiwa na wafanyabiashara pia, Hii, inani alert kwamba kukusanya hiyo hakujawahi kuwa friend with business. Nafikiri neno lenyewe ni KUDAI KODI, kudai bwana kunahitaji moyo
 
siku ile afande sele anatukana matusi mazito mazito,nikahisi anakosea sana maana Mungu hakosei.

ila sasa naanza kufata mawazo yake.

bimkubwa anasahau kabisa urefu wa kiti kisha anaogelea kwenye zipe kauli kwamba madaraka yana ukomo,amesahau kiti alichopo ni cha juu zaidi dunani,akicheka na kima anavuna mabua.
sijui tu kwakweli daaah!!!!
 
Back
Top Bottom