Magu angemaliza Mihula yake Da Ingependeza sana
Rwanda ipo sawa na Kenya kwenye Rail network alafu Rwanda ameizidi Ethiopia, huwa akili zao ndogo sn wakitengeneza hivyo vi report vyao wanasahau kutumia logic tu ili at least uongo uende mbali, alafu na haya majinga yanayopost humu huwa yakikuta tu yanachukua pasipo ku reason ili mradi tu report ioneshe Kenya imeizidi Tz.
Rwanda sijui ata kama wana railway network ,kwa afrika mashariki sisi ndio baba laoRwanda ipo sawa na Kenya kwenye Rail network alafu Rwanda ameizidi Ethiopia, huwa akili zao ndogo sn wakitengeneza hivyo vi report vyao wanasahau kutumia logic tu ili at least uongo uende mbali, alafu na haya majinga yanayopost humu huwa yakikuta tu yanachukua pasipo ku reason ili mradi tu report ioneshe Kenya imeizidi Tz.
Nimemsikiliza Rais yupo live sasa hivi, anasema MIRADI aliyoacha Hayati Magufuli ni urithi wetu, lazima ikasimamiwe kikamilifu ikamilike, lasivyo hatutapata radhi yake na ya Mungu.
Zuwenna unapotea sana kijiweni hapa, kusabahi mara moja moja siyo mbaya.Magu angemaliza Mihula yake Da Ingependeza sana
mungu huyu Basi tu
Uhuru maloan aka borrow yeng


