Good thing kuhusu Magu he was unpredictable ... alijua hawezi kosa advantage kwenye kitu chochote ali plan kufanya.... yani hakua na only one solution to a problem. Kama plan A haito work then we move to plan B and that if it doesn't work then he on to the next plan...we unathani hakuona hizo set backs zote ambazo zingekuja na the way he behaved na mabeberu? U best understand kwamba hakua that shallow!!.. Alimini hakuna kitu kina shindikana endapo una nia na una mtanguliza MUNGU mbele.... we hujiulizi na ujeuri wake wote ule kwa mabeberu na bado alikua ana prosser? Alijiamini... GUTS my friends. Hiyo ndo karama alikua nayo. N that should be a lesson to all TANZANIA'S