Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
Hata Magu alisifiwa mwanzoni na yale magazeti halafu baada ya muda wakaanza kuhoji, "huyu jamaa ni kama hatumuelewi elewi", hivyo jipe muda. Ngoja tuone atachaguliwa nani kuwa katibu mkuu wa chama na kuona kama lile genge la kina mkwere linasauti. Hapo tutapata picha kamili.Nyota njema huonekana mapema kabisa, kwa anayofanya ni viroja.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app