The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Hapana mkuu tupambane tu hakuna namna, hii ni nchi yetu hakuna nyingine tunayoweza ku brag hata ikitokea ukabadili uraia but the motherland will always stay as the motherland, kiukweli Magu alirudisha uzalendo wa Watz kwa nchi yao, tulikuwa tunajisikia fahari mno kuona rais wa TZ anazungumziwa mpk ulaya na kwamba wazungu wanatoka kwao wanamfata mkuu nyumbani kwake Chato, ila mkuu Joto amini kwamba ktk viumbe vilivyowaumiza Watz kwa kufariki kwake basi ni Magu, Watz wameumia sn sn sn na kifo cha Magufuli, hakuna siku ikapita bila kumsikia mTz akiongea jinsi alivyoguswa na kifo cha Magufuli.Mimi nilikua simpendi Kikwete kutokana na uongozi wake, kabla ya Magufuli sikuwa mzalendo, Magufuli ndiye aliyerudisha uzalendo wangu kwa Tanzania, sasa najiona kurudi kulekule kuungana na wasiowazalendo, very unfortunate indeed.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hii kitu huwa inanipa nguvu ya ku move on Mana wahenga wanasema msiba wa wengi sherehe, ss mkuu naomba tuendelee kupambania hii miradi kwanza iishe cz viongozi wengi huwa wanapita kwenye hii thread, so mchango wako ni muhimu sana zaidi ya unavyoweza kudhani mkuu.