Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Sio render mkuu kitu OriginalHiyo ya China ni render au ndio uhalisia, maana zile high rises kule background co mchezo.
Sio render mkuu kitu OriginalHiyo ya China ni render au ndio uhalisia, maana zile high rises kule background co mchezo.
uzuri magufuli alisha tia sign important mineral contract na kaacha smelters zinajengwa so kupigwa kwenye rasili mali sio sana.Ndiyo tumaini lililobaki hilo, mpango nahisi ndiye atakaeongoza hii nchi ila wasi wasi wangu wanaweza wakaanza ku deal naye mapema, cz mama anaonekana km "ndiyo mzee"
utaskia kenya nao wanatadhmini kuanza kufungua nchi... black sheep
Tony254 angaliane Bwn wenu alichofanya!
![]()
Tanzania's Late President Magufuli: "Science Denier" or Threat to Empire?
While his COVID-19 policies have dominated media coverage regarding his disappearance and suspicious death, Tanzania’s John Magufuli was hated by the Western elites for much more than his rebuke of lockdowns and mask mandates.unlimitedhangout.com
Watayajuaje wapinzani hawaNdiyo maana yule jamaa JPM anaendelea kuniuma mpaka basi.
Haya yote wengi wetu hatuyajui.
Alichofaulu mama ni kumteua Dr. Mpango cz huyu mzee hatokubali kuharibu CV yake, atapambana nao mwanzo mwisho cz anaiona njia ya urais nyeupee so atataka kuendeleza imani aliyoanza kujijengea kwa wananchi.Eeeh sio mambo ya kutegemea watu wakupe repoti au kusubiria ripoti za uongo kwa mfano sekta ya madini bado sana ,inafaa awe mjanja kama jpm na hasiwamin sana mawaziri wake
Dah huyu mzee nahisi itanichukua muda sn kumsahau.Ndiyo maana yule jamaa JPM anaendelea kuniuma mpaka basi.
Haya yote wengi wetu hatuyajui.
Serikali na nchi yote aliitia mfukoni kudadadeki hakuna mtu kuleta fyoko fyoko, kwakweli km conspiracy zinachosema ni kweli juu ya kifo chake basi wametuweza.
Ndio maana nasema Magufuli alikuwa anafanya uchunguzi wake, ndio maana wakati mwingine utasikia anasema "wewe najua wanakupiga vita"Ukiwauliza wazee wanakuambiaje kabla ya jpm alikua sokoine kwaiyo tukae mkao wa kuliwa tu hatutompata kiongozi kam jpm kwa miaka ya hvi karibuni, stepu ya Kwanzaa mama kufeli ni kumwamin sana CAG ila Acha tuone mchezo mpira ndio Kwanzaa kipindi cha kwanzaa
Hata mimi nimeanza kupata wasiwasi sana
Nahisi Mpango atajiuzulu,mama akitaka hii serekali isimshinde awe na secretive inteligent task force ambayo itafanya back to back investigation kwa kila ripoti anayopewa lasivyo yangu macho.
lakini mpango naamini atacover madhaifu mengi ya mama sababu anaupeo wa magu licha ya kuwa na elimu nzuri so kwa kiasi flani hatutayumba kiviile
Kikwete anaonekana kuwa mchangamfu sana toka msibaniNdiyo tumaini lililobaki hilo, mpango nahisi ndiye atakaeongoza hii nchi ila wasi wasi wangu wanaweza wakaanza ku deal naye mapema, cz mama anaonekana km "ndiyo mzee"
Alikuwa ananifurahisha akifanya uteuzi wa viongozi hata wakiwa 20 ataanza kumtaja jina mmoja mmoja na anaanza kumwelezea historia yake pasipo kusoma sehemu, yule mwamba yule hatari sana, sidhani kama ubongo wake walimwacha azikwe nao, nahisi watakuwa waliuchukua kuuchunguza.Ndio maana nasema Magufuli alikuwa anafanya uchunguzi wake, ndio maana wakati mwingine utasikia anasema "wewe najua wanakupiga vita"
Mimi Nilishtuka kuona kapokea report ya CAG na kutoa maamuzi.
Waswahili husema muda ni mwamuzi mzuri.
Mama hana uwezo kabisa, katika hili la kutuchagulia makamo wa rais asiyekua na uwezo, lawama zote ni kwa Magufuli, ametuachia matatizo makubwa SanaHata mimi nimeanza kupata wasiwasi sana
Ndio wanajiuliza kupitisha hili wazo: No more lockdowns: UK will treat Covid like seasonal flu, says Chris Whitty - CityAMsafi ila sasa kwann wameweka baadhi ya nchi kama kenya jana kwenye ‘red list’?