Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi City is maturing gracefully!!
ExW4KzoW8AAxYlX.jpg
 
Ninakubaliana na wewe, muhimu watanzania tujiandae kwa hali ngumu chini ya uongozi wa huyu mama, sioni matumaini mbele.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Chief,
Unadhani tutaishi maisha magumu katika nyanja zipi chini ya mama? Naamini kila mtu ana karama na namna yake katika uongozi, hawawezi kufanana...ila unaposema tutapitia kipindi kigumu nashindwa kuelewa. Umeona nini ambacho wengi hatujaona?
 
Back
Top Bottom