xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
bahati mbaya sana raisi hana chombo ki1 cha taarifa rejea mamlaka ya raisi kikatiba!!Ukitegemea reports kutoka chombo kilichowekwa kwa kazi hiyo "CAG" inakua simple sana kwa mafisadi au mabeberu maana watakachofanya ni kubribe hicho chombo. Ila kama una sources zako pembeni inakua ngumu maana source haijulikani (Magu style). Ndio maana hata baadhi wanapotoka kwa kuamini upinzani pekee kumbe wenzao wanalipwa kupeleka mada bungeni mfano ACACIA na Zito
af technically mwamuzi ni takukuru sio CAG maana CAG anadeel na mahesabu na sio wizi!!