Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekuwa nikiangalia post zako na zinaonyesha wazi jinsi ulivyo shallow kifikra. You tube videos ndio zinakupa judgement yako na hujui uhalisia wa nchi unazozilinganisha. Mimi nimekaa Marekani Kwa muda mrefu Ndio Maana huwa nacheka nikiona hizi propaganda unazoanzisha. Lakini endelea kuji-entertain.
Leta hoja zako bro, usiseme najifurahisha naakati wew huleti hoja, umeishi marekani sawa sikukatalii but ulete hoja
 
Lakini watu 45 hawakufa [emoji23][emoji23][emoji23]


Tanzanite bridge u/c
JamiiForums-789421993.jpg
 
Oneni huu mrundikano kwenye lile daraja la watembea kwa miguu [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1740270
eeh 😳😳 anhaa kumbe korona ya kenya huanza sa 2 usiku na kumalizika sa10 asbaa 'so hapo wako very safe in the most'the best,the one and only,the festiessssttttt, the cutest
footbridge ushuzi wa fungo in eastern Africa and central Africa
 
Umeteseka tu roho, wivu tu, hakuna la "sipendi"., outside Dar ni vijiji choka choka.
Sasa huo uchafu wenzenu waliwek kipindi ambacho kujenga daraj ilikuwa garama zaidi kuliko ardhi sasa ivi ardhi ndio ghali kuliko madaraja..na nyie bado mko hukohuko bure kabisa....umebaki na soga na visasil tu
 
Nmechoka na jf.
It can't be that napigwa ban kwa kusema ukweli na magufuli amekufa. Its absurd.

Magufuli is dead for reasons better known to everyone. He died in Nairobi and many people were very happy.


Sasa nkipost hiyo information napigwa ban. Its very weird sielewi hawa moderater wa kibongolala.
Embu jaribu kuweka ushaidi kwamba alikanyaga kunya mm nafunga akaunti
 
eeh [emoji15][emoji15] anhaa kumbe korona ya kenya huanza sa 2 usiku na kumalizika sa10 asbaa 'so hapo wako very safe in the most'the best,the one and only,the festiessssttttt, the cutest
footbridge ushuzi wa fungo in eastern Africa and central Africa
Hapo wanafuata njia za kisayansi yaani.
 
Kwa habari za ndani ndani nilizonazo, ni kuwa:

Baadhi ya hawa Mabwana, walikua wakimdharau sana Mama na kumchongea kwa Boss wao.

Even mimi, siwezi fanya kazi na watu wa hivyo. So, tarajia mabadiliko hata akichukua Uenyekiti CCM.
Ushakua bwana fulani nn
 
Leta hoja zako bro, usiseme najifurahisha naakati wew huleti hoja, umeishi marekani sawa sikukatalii but ulete hoja
Mm navyoona mmarekani kazidiwa na mchina na japani kwa miundombinu ila wannchi wa marekani wanamkwanjaa na mda sio mrefu atazidiwa kwa uchumii apende hasipende
 
Mm navyoona mmarekani kazidiwa na mchina na japani kwa miundombinu ila wannchi wa marekani wanamkwanjaa na mda sio mrefu atazidiwa kwa uchumii apende hasipende
Hata kwa mtu mmoja mmoja marekani anazidiwa na mchina, major cities za marekani zimejaa homeless people karibu kila kona unlike those ones in China. Wanatulisha tu matango Ila jamaa kwa sasa nawapa BIG NO
 
Hata kwa mtu mmoja mmoja marekani anazidiwa na mchina, major cities za marekani zimejaa homeless people karibu kila kona unlike those ones in China. Wanatulisha tu matango Ila jamaa kwa sasa nawapa BIG NO
Laiti ungalijua wananchi wengi wa china hasaa vijijini bado wanaishi kama wanyama pori usingezungumza.
images.jpeg
images (1).jpeg
 
Hata kwa mtu mmoja mmoja marekani anazidiwa na mchina, major cities za marekani zimejaa homeless people karibu kila kona unlike those ones in China. Wanatulisha tu matango Ila jamaa kwa sasa nawapa BIG NO
Wewe kwa mtu mmoja mmoja wamarekani wana mkwanjaa mrefu sana weww kaangalie takwimu mzee sio maneno, utajiri wa marekani upo kwwnye makampuni yao na masoko yao ya hisa uko ndipo wanatengeneza pesa nyingi sana Base on speculations ila in production wako very low ndio maana makampuni yao mengi yanaamishia viwanda Asia
 
Back
Top Bottom