Uchumi wa mtu mmoja mmoja yaani GNI per capita Mmarekani mmoja amemshinda Mchina mmoja kwa mbali. China kumbuka ina population ya watu mara nne kushinda Marekani. (1.2 billion people vis a vis 300 million people). So ukichukua uchumi wa China ugawanye na idadi ya watu unapata GNI per capita ndogo. Mmarekani mmoja ana pesa nyingi sana kushinda Mchina mmoja.
Kama uonavyo, in the year 2019, China ilikuwa na Gni per capita ya approximately $10,410
View attachment 1740420
Huku upande mwingine in 2019 USA ilikuwa na GNI per capita ya $65,850.
View attachment 1740423
Kwa hivyo Mmarekani mmoja anapokea income mara sita ya Mchina mmoja.