Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tupate wadhamini kidogo


20210328_150045.jpg
 
hapa mwigulu akizingua.. anapigwa chin fasta tu
Huyo kijana hafai, majolity wanajua kwamba hatoshi, unajua mtu km hatoshi basi hatoshi tu wala haihitaji elimu kujua kwamba hatoshi ni kwamba hatoshi, huyo mwigulu, February, Nape hawana maadili na hawawezi kutumikia wananchi sema tu ndo hakuna replacement, yn wanazali lkn hawafai kuwa viongozi.
 
Nipe wewe hzo tofauti, manake mi ninavyojua msokoto ni msokoto tu..hzo ni baiskeli bado manake hata hizo hapo chini ni tricycle au hujui mzee baba..we umeona modification basi na wewe unafuata maneno ya kizungu..
Msokoto hata uekwe matairi manne bado ni msokoto tu

View attachment 1739634View attachment 1739635
Unataka kusema hiyo hapo juu ni baiskeli!??..duh
 
Atarudi kwenye ukatibu mkuu wa Chama lakini kwakua kwa sasa Chama hakina Mwenyekiti ndio maana mama kaamua kum- Park kwanza hadi hapo atakapokuwa Mwenyekiti wa Chama then atamteua kuwa Katibu wa Chama....
Abaki huko huko huku hatufai.
 
jamaa kafanyiwa demotion lkn bado ubunge ni sehem nzuri kujipatia hela.. kumbuka kuna makatibu wakuu wa wizara kama Prof Mkumbo na Prof Mkenda na watu wengine kama Simbeye wa sekta binafsi waliacha nafas zao waende kugombea ubunge kwenye ulaji/mshahara mzuri
Kwa Bashiru nadhani alikuwa na ndoto kubwa kuliko pesa mana kama pesa tayari anazo so kile cheo kilikuwa kizuri sana kwake regardless angelipwa sh ngp but ndo hvyo tena uroho umemponza.
 
Hizo ni guta dogo,baiskeli hazipo hivyo...hata baiskeli huzijui dogo????
Bicycle unaweza kui-modify ikawa tricycle we jomba acha ubishi wa kijinga hapa..

Tricycle ni kimekuja kutokana na modifications tu wala hamna lolote
 
Back
Top Bottom