Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hello watanzania wenzangu
Tokea Tarehe 17 Saa 11PM
Leo ndio nagusa Mtandao huu wa Jf
Kiukweli katika Uhai wangu huu Sijawahi Kuumia Kwa Kifo cha mtu yeyote kama Hiki cha Magufuli
Kiukweli Akili Iliyumba mwili Ulikosa Nguvu Nilishikwa na Butwaa Sana
Niwape pole watanzania Wenzangu kwemye Jukwaa hili japo wapo walio mchukia na wapo walio mpenda au kumkubari

Tanzania nikubwa zaidi ya mtu Tanzania ipo Na itakuwepo Sisi wote tutaiacha lakini Kifo cha Magufuli Nipigo kubwa kwa Nchi yetu

Tumuachie Mungu tuendelee Kuipigania Tanzania Kama kawa kama dawa
Pole sana mkuu, nilikuwa najiuliza mbn sikuoni cku zote hizi kumbe ilikuwa ni maumivu ya kuondokewa na hazina yetu, pole sana kiongozi tupo pamoja.
 
Hata kwa mtu mmoja mmoja marekani anazidiwa na mchina, major cities za marekani zimejaa homeless people karibu kila kona unlike those ones in China. Wanatulisha tu matango Ila jamaa kwa sasa nawapa BIG NO
Hapa umechemka mkuu, china kuna mpka sehemu ambazo zimejaa maskini achia mbali homeless people
 
Nimejaribu kukuelewa sana bro, lakini napata ukakasi na maswali mengi ambayo nakosa majibu yake, kweli US ina watu wachache kulinganisha na China, na inasadikika inakipato kikubwa, sasa je inakuwaje kuna namba kubwa ya watu hawana makazi.? Inakuaje vitu vikubwa (New technology and innovation) vinafanywa na mchina.? Hata magari wanayotumia mostly they are importing from Asia (China and Japan).? Hata tu muonekano wa taifa (majiji) lao ni mbaya kulinganisha na China.? Au ni nini maana ya kujitosheleza.? Kuwa na hela sindio kuijali vyema familia.? Why a larger number of homeless people in US.? Au ni uongo tu tunadangaywa kwamba they are good alaf sio kweli.? Pesa ni pembe la ng'ombe ukiwa nazo lazima zionekane. Kwani hiyo miradi mikubwa zaidi duniani China si wanatumia hela kuitekeleza.? Kwanini US hawawezi kutekeleza miradi kama hiyo.? Au wakonayo tayari.? . Nisaidie majibu bro . Kuhusu US aids ni propaganda tu, wao ndio hawewizi kuishi bila sisi (nimesoma history ya dunia, kuna sub topic kwenye topic fulani, inaitwa Structural adjustment program SAP na maelezo ya how it was implemented na ni kwanini, ndio nikajua kuwa sisi waafrica hatuwahitaji wao Ila wao ndio wanatuhitaji sisi ) nenda kasome middle East crisis utaelewa tu kwanini US aids
Advice ninayoweza kukupa ni kwamba wakati unafanya research kuhusu China pia fanya research kuhusu uchumi wa US. Zilinganishe zote mbili. Kuna mambo ambayo Marekani imeishinda Uchina na kuna mambo ambayo Uchina imeishinda Marekani. Kwa mfano unaongea kuhusu utajiri wa uchina. Marekani ndio ina makampuni kubwa kubwa duniani. Hata kwenye top 20 biggest companies nyingi ni za Marekani. Je unajua Marekani ina kampuni tatu ambazo each ina market cap value ya $1 trillion? Apple ina market cap value ya $ 1 trillion? Google na Amazon pia zina market cap value of $ 1 trillion. Kuna mengine pia ambayo Marekani ameishinda China, sio kwenye kampuni kubwa tu.
Soma hii article
 
Nimejaribu kukuelewa sana bro, lakini napata ukakasi na maswali mengi ambayo nakosa majibu yake, kweli US ina watu wachache kulinganisha na China, na inasadikika inakipato kikubwa, sasa je inakuwaje kuna namba kubwa ya watu hawana makazi.? Inakuaje vitu vikubwa (New technology and innovation) vinafanywa na mchina.? Hata magari wanayotumia mostly they are importing from Asia (China and Japan).? Hata tu muonekano wa taifa (majiji) lao ni mbaya kulinganisha na China.? Au ni nini maana ya kujitosheleza.? Kuwa na hela sindio kuijali vyema familia.? Why a larger number of homeless people in US.? Au ni uongo tu tunadangaywa kwamba they are good alaf sio kweli.? Pesa ni pembe la ng'ombe ukiwa nazo lazima zionekane. Kwani hiyo miradi mikubwa zaidi duniani China si wanatumia hela kuitekeleza.? Kwanini US hawawezi kutekeleza miradi kama hiyo.? Au wakonayo tayari.? . Nisaidie majibu bro . Kuhusu US aids ni propaganda tu, wao ndio hawewizi kuishi bila sisi (nimesoma history ya dunia, kuna sub topic kwenye topic fulani, inaitwa Structural adjustment program SAP na maelezo ya how it was implemented na ni kwanini, ndio nikajua kuwa sisi waafrica hatuwahitaji wao Ila wao ndio wanatuhitaji sisi ) nenda kasome middle East crisis utaelewa tu kwanini US aids
Karibu kila nchi ina homelessness crisis, Including China! In fact, China has one of the world’s highest homeless populations.


Go through that Wikipedia page and read more on homelessness in China.

I don’t know much about homelessness in China, but I’d say that homelessness in America is mainly caused by Economic factors. Major cities attract a lot of people who seek employment. Unfortunately, housing costs in major American cities like San Francisco, CA continue to skyrocket by the minute. Also, there’s capitalism. Cities don’t invest much on affordable housing! Leaving the people with lower wages in danger of being homeless.

Like I said before, homelessness exists virtually all over the world, however, the truth is you have a specific bias against the US. From the start you began by saying that China is the world’s leading military power, and I’m glad many people here and I proved you wrong. And then you went to the topic of skyscrapers, which I also contributed by dismissing the poor claims that you made about skyscrapers in the US vs China. And now you’re talking about homelessness. Get your facts straight before getting into discussions. I am well aware of the differences between the USA and China, and I can tell you that if you talk about quality of life, the US is definitely ahead of China.
 
k
Ingia mtandaoni jiridhishishe (kuona ni kuamini) achana na data za Google. Kwa ground uko US hakuna kitu baba, mtu kuitwa tajiri ni matokeo ya anachokifanya na sio maneno, Mimi nasema. China ni world super power currently kwasababu ya matokeo ya wanavyovifanya
We mwanangu vitu kwa ground ni tofauti mindombinu ya China isikudanganye aisee wamarekani na ulaya wako mbele kimkwanjaa China wanajaribu ku catch up tatizo population yao ndio inawarudisha nyuma vile vile pia inawasaidia sanaa bila population yao wasingekua hapoo
 
Nimejaribu kukuelewa sana bro, lakini napata ukakasi na maswali mengi ambayo nakosa majibu yake, kweli US ina watu wachache kulinganisha na China, na inasadikika inakipato kikubwa, sasa je inakuwaje kuna namba kubwa ya watu hawana makazi.? Inakuaje vitu vikubwa (New technology and innovation) vinafanywa na mchina.? Hata magari wanayotumia mostly they are importing from Asia (China and Japan).? Hata tu muonekano wa taifa (majiji) lao ni mbaya kulinganisha na China.? Au ni nini maana ya kujitosheleza.? Kuwa na hela sindio kuijali vyema familia.? Why a larger number of homeless people in US.? Au ni uongo tu tunadangaywa kwamba they are good alaf sio kweli.? Pesa ni pembe la ng'ombe ukiwa nazo lazima zionekane. Kwani hiyo miradi mikubwa zaidi duniani China si wanatumia hela kuitekeleza.? Kwanini US hawawezi kutekeleza miradi kama hiyo.? Au wakonayo tayari.? . Nisaidie majibu bro . Kuhusu US aids ni propaganda tu, wao ndio hawewizi kuishi bila sisi (nimesoma history ya dunia, kuna sub topic kwenye topic fulani, inaitwa Structural adjustment program SAP na maelezo ya how it was implemented na ni kwanini, ndio nikajua kuwa sisi waafrica hatuwahitaji wao Ila wao ndio wanatuhitaji sisi ) nenda kasome middle East crisis utaelewa tu kwanini US aids
Fungua Uzi wa China vs USA, yaonekana wewe ukisikia USA unahisi ni sehemu ya kawaida hivi wanabebwa kua Super power nk. ..Bro China bado ni upper middle income wakati USA ni high income kitambo sana...jamaa walishaendelea miaka mingi sana...Wachina wengi wanawaza wanaondoka lini wakaishi zao USA lakini hakuna mmarekani anaeweza kuwaza ilo
 
Mambo🥰🥰
51AF9596-AD57-4C24-9941-DCDC25AD0D74.jpeg
 
Back
Top Bottom