Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unafikiria Tanzania ni trending topic ama ni ujinga wenu ndio una trend., Magufuli alipo anza kuchemsha, ndio wakenya wakamjua kwa wingi, na kifo chake and what follows ndio imekua trending news, mengine ni Diamond na bongo flava, kuikweli mumejiletea dharau kwa wakenya, hamna lolote la maana to be followed, ni wivu na chuki zenu zinatushangaza, tukiangalia hatuoni lolote la maana down south.,
Usiniletee stress za ujobless.
Usiniletee stress za kufungiwa ndani kama kuku.
 
Rais Samia amefanya decision nzuri kumchagua VP wake awe Dr. Mpango. Huyu mtu nadhani atahakikisha kwamba miradi zote za JPM zilizoanzishwa kama JNHPP, electric SGR, BRT phases zilizobakia, port expansions, powerline constructions na kadhalika zitakamilika maana anaelewa umuhimu wa miradi hizi katika uchumi wa Tanzania. Miradi hizi zitakuwa na positive impact kwa uchumi wa Tanzania.
 
Usiniletee stress za ujobless.
Usiniletee stress za kufungiwa ndani kama kuku.
Jitume wacha uzembe siku zote, jaribu kutumia angalau 0.005% ya akili zako. Just try uone matokeo, utafurahia😂
 
Jitume wacha uzembe siku zote, jaribu kutumia angalau 0.005% ya akili zako. Just try uone matokeo, utafurahia
Natumia 0.005% ya akili yangu lakini nina kazi nzuri, mambo yanaenda vizuri...yaani nilimaliza tu chuo mwaka huo huo nikapata job, sikuangaika kwenda interviews

Can you imagine ningetumia 1% ingekuwaje?

Shukurani jamiiforums ya kuja kujipea matumaini ipo la sivyo mngesha commit suicide kitambo.
 
Natumia 0.005% ya akili yangu lakini nina kazi nzuri, mambo yanaenda vizuri...yaani nilimaliza tu chuo mwaka huo huo nikapata job

Can you imagine ningetumia 1% ingekuwaje?

Shukurani jamiiforums ya kuja kujipea matumaini ipo la sivyo mngesha commit suicide kitambo.
Indeed🤣😂😂., pia mimi nimeona.🤣😂😂 Kweli kweli Kaka😂😂, Hadi raha🤣😂😂
 
Nimekuwa nikiangalia post zako na zinaonyesha wazi jinsi ulivyo shallow kifikra. You tube videos ndio zinakupa judgement yako na hujui uhalisia wa nchi unazozilinganisha. Mimi nimekaa Marekani Kwa muda mrefu Ndio Maana huwa nacheka nikiona hizi propaganda unazoanzisha. Lakini endelea kuji-entertain.
Wewe ni mtanzania wakujielewa,
 
Anaoza sa hii
Shida iko wapi? Kwn uliambiwa wewe utakuwa hufi? Alikufa bibi yako itakuwa Magu, tatizo mlilonalo Wakenya ni wivu juu ya viongozi bora wa Tanzania na maendeleo tuliyopiga kwa ujumla, ishu co Magu kufa ishu ni elimu tuliyonayo imetusaidia Watz kupata viongozi bora na wenye maadili, na kwa taarifa yako Magu hayuko pekeake bali tunao wengi wa namna yake, so mtajiumiza bure kwa chuki mlizonazo badala mpambane na nchi yenu juu ya viongozi dhalimu na wala rushwa waliojaa huko kwenu.

Niwape ushauri ni kwamba badilisheni mfumo wa elimu mana elimu yenu inamjenga mkenya kusujudia wazungu na sio kupigania Kenya.
 
Rais Samia amefanya decision nzuri kumchagua VP wake awe Dr. Mpango. Huyu mtu nadhani atahakikisha kwamba miradi zote za JPM zilizoanzishwa kama JNHPP, electric SGR, BRT phases zilizobakia, port expansions, powerline constructions na kadhalika zitakamilika maana anaelewa umuhimu wa miradi hizi katika uchumi wa Tanzania. Miradi hizi zitakuwa na positive impact kwa uchumi wa Tanzania.
Wakenya wenzako hawapendi bwana Tony254 wataku report GoK wakuvue uraia, eti wanasema ukiongea positivity juu ya jirani ni hypocrisy
 
Wakenya wenzako hawapendi bwana Tony254 wataku report GoK wakuvue uraia, eti wanasema ukiongea positivity juu ya jirani ni hypocrisy
Uraia wangu hauwezi kuvuliwa hata na serikali ya Kenya. Mimi nilizaliwa Kisumu county na kukulia Nakuru county na sasa nafanya kazi Nairobi county kwa hivyo mimi ni Mkenya halisi. In fact katiba yetu mpya ya 2010 inaruhusu Mkenya kuwa na uraia wa nchi mbili. Ile katiba ya zamani ndio ilikuwa inazuia Mkenya kuwa na uraia wa nchi nyingine. Sasa hivi tuna Wakenya wengi ambao wana uraia wa nchi mbili.
 
Unafikiria Tanzania ni trending topic ama ni ujinga wenu ndio una trend😂😂😂., Magufuli alipo anza kuchemsha, ndio wakenya wakamjua kwa wingi, na kifo chake and what follows ndio imekua trending news, mengine ni Diamond na bongo flava, kuikweli mumejiletea dharau kwa wakenya, hamna lolote la maana to be followed, ni wivu na chuki zenu zinatushangaza, tukiangalia hatuoni lolote la maana down south🤔🤔.,
Tuwe na wivu na nchi amabayo
1.lmelemewa na ukabila
2.watu wanakufa njaa
3.Failed state ambayo nchi jirani zinamega vipande vya ardhi huku mmejikunyata,hata nchi hovyo kama Somalia inawanyang'nya sehemu ya nchi yenu alafu mnalialia!
4.Nchi inawapigaji kuanzia Rais,mpaka sub-chief!
5.Hadhi na utu wamkenya unatokana na kabila lake,na sio uraia wake,hovyo sana!
Tanzania sio nchi ya kujilinganisha na Kenya kwa lolote,tena futa kabisa hilo wazo, yaani ww na machoko wenzio ndio mna mawazo ya kizamani kuhusu Tanzania 🇹🇿,Uhuru wa habari unaoongelea humu ni upi?Watu wangapi wamekamatwa na hata kuuwawa huko kwenye kainchi kenu ka hovyo kwa kutoa habari zinazohisu Rais,au serikali,nyani haoni kundule lake.
Tumeisha waambia humu JF mtaje mambo ambayo mmeizidi Tanzania 🇹🇿,mmebaki na GDP ya kupika,jinga Sana ww!
 
Back
Top Bottom