sasa a loss of $25 mln for Air Tanzania with 12 aircraftAtcl pia inapata hasara na mlikuwa mnacheka KQ. Wajinga sana nyie. Sasa mlikuwa mnatucheka kwa nini?
View attachment 1737686
. Jamani hivi hizi habari ni za kweli.? Inasemekana watu weusi wanapigwa hovyo huko India,mbona hatuzioni zikirushwa kwenye media.? Kuna yeyote mwenye ukweli kuhusu hili.?
The 2019-2020 loss is quite understandable. Covid-19 caused many international ATCL flights to be suspended, leading to a poor business performance. But it has been noted that ATCL has been making losses for the last five years! What do you think was the problem during the pre-covid financial years?sasa a loss of $25 mln for Air Tanzania with 12 aircraft
VS
a loss of $300 mln for KQ with 3 aircraft,
wapi na wapi?
sasa a loss of $25 mln for Air Tanzania with 12 aircraft
VS
a loss of $300 mln for KQ with 3 aircraft,
wapi na wapi?
I said it here that Magufuli was a liar and a thief, amekuwa akiwaaminisha wajinga kuwa Any Time Cancellation Limited (ATCL) ilikuwa inatengeneza faida tangu ianzishwe afresh😂😂sasa a loss of $25 mln for Air Tanzania with 12 aircraft
VS
a loss of $300 mln for KQ with 3 aircraft,
wapi na wapi?
Which international routes did ATCL have? Ebu hesabu hata kumi kama unaweza tukupigie makofi. Alafu usilaumu Covid juu Tanzanian domestic aviation wasn't closed.The 2019-2020 loss is quite understandable. Covid-19 caused many international ATCL flights to be suspended, leading to a difficult business performance. But it has been noted that ATCL has been making losses for the last five years! What do you think was the problem during the pre-covid financial years?
😭😭😭😭😭😭
Mpaka lini Waafrika tutakua tunateseka Hivi kwenye mataifa ya watu wakati wenyewe huku wanaishi kama wafalme?
Tatizo sio kuwa nazo, tatizo Ni mahesabu yake kuwekwa hadharani kwani ni mali yetu sote.Yaani usipokuwa na ndege ni kama Baba tajiri bila kuwa na gari utaonekana fukara tu, so tukubaliane kuna vitu lazima uwe nanvyo kwa demand ya sasa hata kama faida yake sio kubwa kivile, mfano tu amua kuwa na matatu au Brt kama za bongo land
pili Mchina anatupiga danadana!The 2019-2020 loss is quite understandable. Covid-19 caused many international ATCL flights to be suspended, leading to a poor business performance. But it has been noted that ATCL has been making losses for the last five years! What do you think was the problem during the pre-covid financial years?
toa Nigeria hapo wawe na umeme wa uhakika kwanza!Egypt ligi yao ni Afrika Kusini na Nigeria. Nyinyi endeleeni kupambana na Burundi.
Hatuogopi hasara mkuu, tunataka tuone mahesabu yake hadharani ili tunapobrag tuwe tunajua na gharama zakeHaiji yan,we mwenyewe angalia yaani nchi ya Tanzania tusiwe na airline yetu kweli,sasa tutapata wapi sauti ya kupambana na ma-giant wa Africa,lazima tuwe na airline yetu ili dege linatua pale S.A au Cairo watu wakiliona wanasema "ndege ya Tanzania hiyo".. Tunaogopa hasara yaani tunazidiwa na ki-nchi kama Rwanda!!
Mimi huwa sipendi airline business huwa ina complications nyingi sana. Sasa hivi hata kabla ya covid most major airlines in Africa zilikuwa zinatengeneza loss. Ikiwemo KQ na SAA. Ethiopian airlines pekee ndio inatengeneza profit. Halafu airlines nyingi zimekufa hapa Africa ukizingatia Nigeria pia walikuwa na airlines yao ambayo ilikufa na Ghana pia walikuwa na yao na ikafa. Hii biashars ya airlines sio ya kuingia kichwa kichwa. Haitaki ubabe hata kidogo. Inataka humility wa hali ya juu ili ujue tatizo liko wapi na utalirekebisha vipi. Vinginevyo itakuwa ni mwendo wa kutengeneza losses kila mwaka.The 2019-2020 loss is quite understandable. Covid-19 caused many international ATCL flights to be suspended, leading to a poor business performance. But it has been noted that ATCL has been making losses for the last five years! What do you think was the problem during the pre-covid financial years?
ATCL did have international routes before the outbreak started. And I said that the international flights were suspended because of Coronavirus, not domestic.Which international routes did ATCL have? Ebu hesabu hata kumi kama unaweza tukupigie makofi. Alafu usilaumu Covid juu Tanzanian domestic aviation wasn't closed.
Egypt ligi yao ni Afrika Kusini na Nigeria. Nyinyi endeleeni kupambana na Burundi.
Kwani generators wanazotumia hazizalishi umeme? Generators zao zinazalisha chai au kahawa? Anyway waafrika wengi mnachukia Nigeria kwa sababu wao ni full waafrika weusi kama sisi. Aliko Dangote ni billionaire muafrika mweusi. Michael Adenuga ni billionaire muafrika mweusi. Emeka Offor ni billionaire muafrika mweusi, Abdul Rabiu na billionaires wengine ni waafrika weusi kama sisi. Media yao, cement, sugar, na private sector yao kwa asilimia kubwa inamilikiwa na waafrika weusi. Hata some of the oil and gas companies zinamilikiwa na waafrika weusi.Ebu
toa Nigeria hapo wawe na umeme wa uhakika kwanza!
by the way hasara imekua ndogo sababu tulinunua ndege cash,Ndege ziwepo,na bora tununue kwa cash,hata kama zina hasara ila zitatufaidisha kwa namna nyingine
Ila kuna mafisadi nayaona yanatamani kuzipiga bei,kuna nguvu kuuubwa sana ipo kuzipiga vita
Unapingana kwa data zipi? Hapa sio mahala pa kuleta maneno vya kijiweni. Leta evidence. Sio kuongea tu. Watawapiku kwa idadi ya ndege au idadi ya abiria au kwa idadi ya destination au kwa jambo lipi? Fanya research kabla uje hapa kuongea.
Tunasubiri upeleke ushahidi mahakamani ya kwamba JPM alikupiga ukuni kila ilipofika asubuhinaskia marehemu alipenda sana kupiga kuni asubuhi![]()




Ku afford chakula ndio kuinuliwa kimaisha, we mzee kweli unajiskia alafuYap BTW nimesahau numerous irrigation projects! Walalahoi wetu wana-afford chakula na jamaa ameweza kuingiza nchi middle income!