Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu mbona mnakubali kuishi chini ya dictatorship? Mbona mnakubali kufungiwa mtandao kana kwamba mnaishi North Korea? Sisi huku tunaingia kwenye mtandao bila kutumia VPN. Nataka kuwacheka ila nahisi huruma. Udikteta kama huu wa CCM mnastahili kuukataa kabisa.
VPN ni kwa ajili ya tweeter tu, mitandao mingine ipo accessible bila VPN

Hauwezi amini VPN inawafaidisha sana wenye social media business sababu ukiweka VPN kunakua na high level of ads trafficking kwenye app unayofungua, YouTube za bongo wanapiga sana pesa na websites
 
Watu mbona mnakubali kuishi chini ya dictatorship? Mbona mnakubali kufungiwa mtandao kana kwamba mnaishi North Korea? Sisi huku tunaingia kwenye mtandao bila kutumia VPN. Nataka kuwacheka ila nahisi huruma. Udikteta kama huu wa CCM mnastahili kuukataa kabisa.
Kenyatta yuko madarakani kwa miaka mingapi sasa?
 
VPN ni kwa ajili ya tweeter tu, mitandao mingine ipo accessible bila VPN

Hauwezi amini VPN inawafaidisha sana wenye social media business sababu ukiweka VPN kunakua na high level of ads trafficking kwenye app unayofungua, YouTube za bongo wanapiga sana pesa na websites
Wacha zako. JF si mlikuwa mnaingia na VPN wakati wa uchaguzi?
 
. Mmh hawa jamaa kuhusu kuwafkia ni ndoto, EA's countries have a long journey. This is madinaty in Egypt .oya wew.! hawa wamba ni kwerekweche
 
. Mmh hawa jamaa kuhusu kuwafkia ni ndoto, EA's countries have a long journey. This is madinaty in Egypt .oya wew.! hawa wamba ni kwerekweche

Egypt ligi yao ni Afrika Kusini na Nigeria. Nyinyi endeleeni kupambana na Burundi.
 
. Jamani hivi hizi habari ni za kweli.? Inasemekana watu weusi wanapigwa hovyo huko India,mbona hatuzioni zikirushwa kwenye media.? Kuna yeyote mwenye ukweli kuhusu hili.?

Sitashangaa ikiwa ni ukweli. Wahindi ni watu wabaguzi sana dhidi ya watu weusi. Ila video hio inahuzunisha.
 
Watanzania waishio South Kivu warejea kwenye Biashara baada ya kumaliza maombolezo ya msiba wa Magufuli



Vipi mwenye connection huku naomba hata nikawe kuli
 
Sitashangaa ikiwa ni ukweli. Wahindi ni watu wabaguzi sana dhidi ya watu weusi.
Lakini mbona sisi tunaishinao vizuri tu uku kwetu, hatuwabagui, wanafanya biashara zao vizur tu,duh kuwa na ngozi nyeusi kwenye mataifa ya ngozi nyeupe ni mtihani kweli,🥺🥺
 
Back
Top Bottom