The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537






Yap BTW nimesahau numerous irrigation projects! Walalahoi wetu wana-afford chakula na jamaa ameweza kuingiza nchi middle income!Kwhyo walalahoi wameinuliwa kimaisha na huu upupu
Umeona🙄nahisi kuna information kubwa Sana anajua wakimbana huyu vizuri atatapika yote🙂Huyu Musiba naye asitake kujificha kwenye kivuli cha kigogo wakati nayeye ni shuzi linalohitaji mjambaji, yeye mwenyewe anatakiwa apewe haki yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sebuleni

Hawstapoteza kazi, watapotezwa kabisa. Wamerisk sana usalama wa taifa kwa ujumlaakidakwa watu wengi watzapoteza kazi!! maana watamfyonza uchafu wote ndani!




Pole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.Ninachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa
Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki
Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda
Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc
Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu
Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.
Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
Nakuunga mkono kaka, binafsi niliumia sana, na nnajua watanzania asilimia kubwa tumeguswa, tumuombee pumziko zuri, pia tumuombee Mama awe imara asitikisike na baadhi ya watu.Pole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ina wataalam wengies kitengo wanaofanyakaxi ktk vituo nje ya nchi.Sawa mkuu.
Ile page inanipa ukakasi, why admin wa ile page aonekane yupo UK tofauti na page zingine za serikali wanao-manage location zao zinaonekana wapo Tanzania!
Hiyo page ilifunguliwa 2012.Serikali ina wataalam wengies kitengo wanaofanyakaxi ktk vituo nje ya nchi.
Pia inawezekana account ilifunguliwa kwa kutumia VPN na kuonyesha admin yuko UK ili kuwakwepa Facebook ambao nao wanawasupport hao akina Kigogo