Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watakuambia wana high rises km Dubai
tapatalk_1598259429492.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa

Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki

Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda

Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc

Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu

Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.

Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
 
Ninachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa

Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki

Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda

Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc

Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu

Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.

Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
Pole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono kaka, binafsi niliumia sana, na nnajua watanzania asilimia kubwa tumeguswa, tumuombee pumziko zuri, pia tumuombee Mama awe imara asitikisike na baadhi ya watu.
 
Sawa mkuu.

Ile page inanipa ukakasi, why admin wa ile page aonekane yupo UK tofauti na page zingine za serikali wanao-manage location zao zinaonekana wapo Tanzania!
Serikali ina wataalam wengies kitengo wanaofanyakaxi ktk vituo nje ya nchi.

Pia inawezekana account ilifunguliwa kwa kutumia VPN na kuonyesha admin yuko UK ili kuwakwepa Facebook ambao nao wanawasupport hao akina Kigogo
 
Back
Top Bottom