Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Unajua upuuzi unachofanya wewe ni kwamba unafanya research kuhusu Rwanda pekee halafu unasusia kufanya research kuhusu Ethiopia kisha unataka kuzilinganisha zote mbili. Upo sahihi kwamba Rwandair itafaidika sana na deal ya Qarar lakini sio vizuri wewe kuruka na kuanza kutajataja neno Ethiopia bila hata kujua ukubwa wa Ethiopian airlines. Nipo sure hujui ukubwa wa Ethiopian airlines ndio maana unawadharau sana. Kama ungejua ukubwa wao na profitability yao ungefunga mdomo. Afadhali ungesema Rwandair ingeipiku KQ au SAA.Hujanielewa inaonekana, yani nasemaje incase wakisaini huo mkataba Qatar wqtaongeza zaidi ya ndege 60 na watakua wana offer the same services like Qatar airways since both the new airport and the airline zitakua zina offer services the sawa kama qatar airways kingine hawa wa katar watajenga mahoteli ma kukubwa kigali kwa ajili ya paasserges wake na wafanyakaz. The new greenfield airport inajengwa at a cost of 1 3 B $ na itakua na uwezo kuhudumia watu zaidi ya 10m na iyo ni phase one tuu phase 2 wataexpand the airport na kingeni Kigali is geographicaly well positioned than Addis that's why nasema watawapiku wa Ethiopia kwa sababu hawawez offer the same services like emirates na Qatar
Nimehisi kucheka ulipoandika kwamba siku za usoni Rwandan airport itapanuliwa ili iweze kuhandle 10 million passengers. Usichokijua ni kwamba in 2018 Bole airport in Ethiopia handled 12 million passengers. Halafu capacity ya Bole airport imepanuliwa na sasa inaweza kuhandle 22 million passengers. So uwache kuturingia 10 million passengers wakati Bole ina capacity ya 22 million passengers.
Addis Ababa Bole International Airport - Wikipedia
Okay. Usitaje Ethiopian airlines unless unajua kitu unachosema.

