Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha. Kwani hamutaki kulinganishwa na Burundi? Kwani Burundi sio ndugu zenu?
Burundi hapana kwakweli, ni ndugu zetu sawa, lakin bhana wapo vibaya sana, Burundi labda ishindane na mji kama musoma au hata Singida 😂😂😂
 
. Jamani hivi hizi habari ni za kweli.? Inasemekana watu weusi wanapigwa hovyo huko India,mbona hatuzioni zikirushwa kwenye media.? Kuna yeyote mwenye ukweli kuhusu hili.?

media yao pia ni ya kibaguzi kama ya Kenya! Ipo busy ku-cover propaganda towards China their nemesis!
 
. Jamani hivi hizi habari ni za kweli.? Inasemekana watu weusi wanapigwa hovyo huko India,mbona hatuzioni zikirushwa kwenye media.? Kuna yeyote mwenye ukweli kuhusu hili.?

😭😭😭😭😭😭

Mpaka lini Waafrika tutakua tunateseka Hivi kwenye mataifa ya watu wakati wenyewe huku wanaishi kama wafalme?

Ni wananchi wa mataifa gani hao? Umoja wa Africa upo kimya!
 
Watu mbona mnakubali kuishi chini ya dictatorship? Mbona mnakubali kufungiwa mtandao kana kwamba mnaishi North Korea? Sisi huku tunaingia kwenye mtandao bila kutumia VPN. Nataka kuwacheka ila nahisi huruma. Udikteta kama huu wa CCM mnastahili kuukataa kabisa.
Ni kama nyie tu mnaolazimishwa kudungwa nisindano ya chanjo ya covid-19 ambayo bado ina mashaka sababu tu hao leaders wenu walishakula vya watu hivyo ni lazima wa-obey masharti ya bwana zao .
 
Wanatudharau sana hawa jamaa hio iko wazi.
Lakini mbona sisi tunaishinao vizuri tu uku kwetu, hatuwabagui, wanafanya biashara zao vizur tu,duh kuwa na ngozi nyeusi kwenye mataifa ya ngozi nyeupe ni mtihani kweli,🥺🥺
 
😭😭😭😭😭😭

Mpaka lini Waafrika tutakua tunateseka Hivi kwenye mataifa ya watu wakati wenyewe huku wanaishi kama wafalme?

Ni wananchi wa mataifa gani hao? Umoja wa Africa upo kimya!
Labda masiah akirudi usawa ndio utakwepo lakini this is too much hadi wahindi wanatubagua
 
I'm back. How are you all?
Exo-bM_XAAY28En.jpeg
 
WATU SIWAELEWI KABISA HIVI?
TUWE NA NDEGE AU TUSIWE NAZO??
NA JE TUNUNUE KWA MKOPO AU CASH KM HELA ZIPO?
Ndege ziwepo,na bora tununue kwa cash,hata kama zina hasara ila zitatufaidisha kwa namna nyingine

Ila kuna mafisadi nayaona yanatamani kuzipiga bei,kuna nguvu kuuubwa sana ipo kuzipiga vita
 
Ndege ziwepo,na bora tununue kwa cash,hata kama zina hasara ila zitatufaidisha kwa namna nyingine
Yaani usipokuwa na ndege ni kama Baba tajiri bila kuwa na gari utaonekana fukara tu, so tukubaliane kuna vitu lazima uwe nanvyo kwa demand ya sasa hata kama faida yake sio kubwa kivile, mfano tu amua kuwa na matatu au Brt kama za bongo land
 
Yaani usipokuwa na ndege ni kama Baba tajiri bila kuwa na gari utaonekana fukara tu, so tukubaliane kuna vitu lazima uwe nanvyo kwa demand ya sasa hata kama faida yake sio kubwa kivile, mfano tu amua kuwa na matatu au Brt kama za bongo land
Uongo mtupu. Nchi nyingi za Africa hazina airlines na maisha inasonga tu kama kawaida. Halafu airline business ni mbovu kabisa. Hapa Africa isipokuwa Ethiopian airlines hizo major airlines zingine zote zinatengeneza loss kila mwaka.
 
Yaani usipokuwa na ndege ni kama Baba tajiri bila kuwa na gari utaonekana fukara tu, so tukubaliane kuna vitu lazima uwe nanvyo kwa demand ya sasa hata kama faida yake sio kubwa kivile, mfano tu amua kuwa na matatu au Brt kama za bongo land
Haiji yan,we mwenyewe angalia yaani nchi ya Tanzania tusiwe na airline yetu kweli,sasa tutapata wapi sauti ya kupambana na ma-giant wa Africa,lazima tuwe na airline yetu ili dege linatua pale S.A au Cairo watu wakiliona wanasema "ndege ya Tanzania hiyo".. Tunaogopa hasara yaani tunazidiwa na ki-nchi kama Rwanda!!
 
Back
Top Bottom