Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiki kitu kinaanza lini hapo ubungo naona kuna ujenzi unaendelea

images (15).jpeg
 
Kwenye huu msiba kuna mkenya alikua anafikiri Dodoma ni kama town fulani huko isiolo ila baada ya kuona clips za msiba ulivyokua ukizungushwa Dodoma pale kabadili msimamo anasema Tanzania tofauti na alivyofikiria

Chato yenyewe ndio imemvuruga kabisa
 
Washkaji hii nchi ina mambo mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia,in short ni kwamba mafisadi yameshinda sasa tunarudi kulee kwa wapigaji,na hao wapigaji hawatoki mbali bali mulemule ccm,jamaa walimchukia sana mzee pombe kwa kuwabana,now wamerejea kwa kishindo
Hili nililisema humu mapema tu Magu alipolala,yaani tutegemee anguko la CCM!
 
There is one thing I usually tend to like about new government, they do expose the rot of the previous regimes which were kept secret. Less than a week and Suluhu has already exposed the rot in Magufili's govt. If your demigod was still alive nobody could have known that ATCL has been making loses for the past five years.
Magufuli was a good manipulator of data. I expect more fallout in the future.
 
Kwenye huu msiba kuna mkenya alikua anafikiri Dodoma ni kama town fulani huko isiolo ila baada ya kuona clips za msiba ulivyokua ukizungushwa Dodoma pale kabadili msimamo anasema Tanzania tofauti na alivyofikiria

Chato yenyewe ndio imemvuruga kabisa
Usisahau ndo capital city yenu😂😂 ambayo Kisumu yaitandika.
 
So sad that you wasted your opinions,you should tell that to JWTZ,coz wao ndo walikuwa wahusika wakuu wa mazishi,jamiiforums huwa hawaziki mtu mate..next time jifunze kupeleka maoni yako mahala sahihi,kwa kuwa wewe ni millionaire wangekusikiliza tu Mr.Freemason
Kama jf hawaziki mtu then why were they uncomfortable with what I was saying?
 
This is one of the inner roads in Westlands. See how it's smooth and perfectly marked, I'm sure there is no inner road in Dar is slum which is perfectly marked like this.

ExlL4SNXMAMNkaQ.jpeg
 
The whole Dom is under construction,so it's just the matter of time.. kisumu level yake kwanza ni Arusha na haitoboi vile vile
Tell me anything that Arusha can beat Kisumu in and I will show you how worms are eating the body of your demigod.
 
You were a troublesome!!!, they couldn't help you pal..because they weren't part of funeral, what should they do?
I was sure those who were involved in the burial are in this forum. The least they could have done was to leave me alone so that I could pass the message.
 
Back
Top Bottom