chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,124
Sijamaanisha wote nasema waandishi si unaona millad ayo anavyotutia aibu alafu page yake inaaminiwa kwa habari tz na afrika mashariki kwa ujumla ndio aje haposti izo habari za uongoWabongo kinanani, hizi dharau za miaka ya 90 usiziendeleze tafadhali.
Miradi Ayo amenukuu.Sijamaanisha wote nasema waandishi si unaona millad ayo anavyotutia aibu alafu page yake inaaminiwa kwa habari tz na afrika mashariki kwa ujumla ndio aje haposti izo habari za uongo
Wewe wacha ujinga. Waziri wenu mkuu ndio ameibuka na madai hayo. Sasa unamsingizia Millard Ayo kwa nini? Hata gazeti la Mwananchi online limeripoti maneno ya waziri mkuuSijamaanisha wote nasema waandishi si unaona millad ayo anavyotutia aibu alafu page yake inaaminiwa kwa habari tz na afrika mashariki kwa ujumla ndio aje haposti izo habari za uongo
Nimekwambia leta source inasema mombasa ina magari mengi kuliko mwanza kua na bandari hakumaanishi una gari nyingi kulikoUmeanza kubadilisha kauli yako mwenyewe kwamba Mwanza haina interchange kwa sababu hamna magari ya kutosha?
Kweli ndio maana hua munabebwa kifala 😃Nipo sure 100% berth zote zinamilikiwa na Serikali ya Kenya.
af sio kQ pekee nakampuni kibao tuu yalisitisha ajira umesahau had walimu wao walkua wanapokea nusu mshahara?
Kenya airways is dead sema Wana force operations tu😟
Kwani sheria za nchi zinawekwa na mungu??Kwani Magufuli anaweza kufuta sheria ya nchi? Kwani rais huko kwenu ni Mungu?
Alifanya nn?What about cs macharia ??humjui
Wewe binafsi litakusaidia na nn, akija rais mwngine kichaa ataamua hata kubalisha aweke mlima kilimanjaro..hapo mtakua ndio mumeweka kumbukumbu ganiLisilo na msingi kwako.