Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Berth zote za Mombasa port zinamilikiwa na serikali ya Kenya. Halafu ni vizuri umekubali kwamba Mombasa ina magari mengi kushinda Mwanza. Trubarg natumai umesikia wewe mwenyewe kwamba Mombasa ipo busy kushinda Mwanza.
Unaeza niletea evidence kwamba mombasa ina magari mengi kuliko mwanza ukipata nitag🤣🤣🤣
 
Berth zote za Mombasa port zinamilikiwa na serikali ya Kenya. Halafu ni vizuri umekubali kwamba Mombasa ina magari mengi kushinda Mwanza. Trubarg natumai umesikia wewe mwenyewe kwamba Mombasa ipo busy kushinda Mwanza.
Nani alikudanganya bearth zote zinamilikiwa na serekali ????
 
Kenya open,Karen Nairobi🥰
download (3).jpeg
download (2).jpeg
df0bb047621859.587fd10eae863.jpg
 
Ila Majaliwa ndo katangaza kabisa! Sijui yule baba kachanganyikiwa?

Hawa ndo chokoraa wa Global Intelligence hata picha zao zipo photoshopped!
134931732_911061886096723_8716198492088310798_o.jpg



75462365_613378499198398_5811178600749072384_o.jpg
Hahaha Geza Ulole Fundi kitasa badilikeni Watanzania. Yaani serikali ya Tanzania inachezewa na bloggers. Pengine hata hawa bloggers ni watoto wa university hapa Kenya wameamua kusambaza fake news kwenye mitandao. Hata serikali ya Kenya haiwezi kuchezewa akili namna hii. Media zetu zimewapatia stress kwa wiki mbili sasa tena ni zamu ya bloggers wa Kenya. Prime minister mzima anachezewa. Poleni. Lawama sio kwake. Lawama ni kwa media department na spokesman wake. Hao ni jukumu lao kupitia posts zote online na kuchuja zilizo fake news na zilizo halali.
 
Hahaha Geza Ulole Fundi kitasa badilikeni Watanzania. Yaani serikali ya Tanzania inachezewa na bloggers. Pengine hata hawa bloggers ni watoto wa university hapa Kenya wameamua kusambaza fake news kwenye mitandao. Hata serikali ya Kenya haiwezi kuchezewa akili namna hii. Media zetu zimewapatia stress kwa wiki mbili sasa tena ni zamu ya bloggers wa Kenya. Prime minister mzima anachezewa. Poleni. Lawama sio kwake. Lawama ni kwa media department na spokesman wake. Hao ni jukumu lao kupitia posts zote online na kuchuja zilizo fake news na zilizo halali.
Huenda mzee baba hakutaka kuwashirikisha wataalamu
 
Tatizo ni millard ayo kupost vitu bila kudhibitishaa au kuchunguza watu bilioni nne sio mchezo wewe 🤔
Wewe wachana na Millard Ayo. Millard Ayo hajatangaza kuwa watu 3.4 billion walitazama maombolezi. Waziri Mkuu mwenyewe katangaza na sijui katoa wapi statistics hiyo. Millard Ayo alichofanya ni kuripoti tu maneno ambayo Waziri Mkuu alitamka.
 
Huenda mzee baba hakutaka kuwashirikisha wataalamu
Mtu level hio ya PM au President ni sharti ahusishe wataalam vinginevyo matokeo yanakua kama haya. Hata Trump hakupenda kushirikisha wataalam sana ila matokeo ni kuwa alikuwa anapost vitu vya hovyo sana kwenye twitter.
 
Unaeza niletea evidence kwamba mombasa ina magari mengi kuliko mwanza ukipata nitag🤣🤣🤣
Umeanza kubadilisha kauli yako mwenyewe kwamba Mwanza haina interchange kwa sababu hamna magari ya kutosha?
 
Mtu level hio ya PM au President ni sharti ahusishe wataalam vinginevyo matokeo yanakua kama haya. Hata Trump hakupenda kushirikisha wataalam sana ila matokeo ni kuwa alikuwa anapost vitu vya hovyo sana kwenye twitter.
Shida sana..na huenda aliletewa hiyo habari na MATAGA akafanya kupanda nayo hewani
 
Back
Top Bottom