komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Enhee!!mbona hujaleta za loans, leo umeingia cha kike jomba..
Naona mtu akianza kunengua sasa hivi
Enhee!!mbona hujaleta za loans, leo umeingia cha kike jomba..
Kenya airways is dead sema Wana force operations tu![]()
3 billion angekifikisha mandela kwanzaMagufuli is a special African, hakuna hata media moja duniani ambayo haijatangaza kuhusu kifo cha Magufuli
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kumiliki kwao kumepunguza nini kwa wale ambao hawamiliki na bado hyo interchange kwao ni mhimu piaZiko busy kwasababu ya bandari na kama sio bandari je?? Mombasa ilishakufa zamani ni bandari ndio kitu inapumulia mashine na bandari yenyewe ina milikuwa na watu unakuta mtu kama joho na family yake wanamuliki bearth kama 5 hapo mombasa alaf munasema kuna uchumi hapo![]()
We jamaa unajitia ujuaji lkn kichwani mweupe sana..Nani alikudanganya bearth zote zinamilikiwa na serekali ????
Tuseme unajitia ujinga au🤣🤣🤣Alifanya nn?
Watu wamejimilikisha wakiwemo kina joho wanatafuna pesa za bandari alaf munataka kudanganya nn 😂😂😂😂We jamaa unajitia ujuaji lkn kichwani mweupe sana..
Haya tueleze ni berth zipi hzo wanazomiliki
Ni muhimu kwa sababu ya bandari kupunguza adha ya usafiri na sio vinginevyoKumiliki kwao kumepunguza nini kwa wale ambao hawamiliki na bado hyo interchange kwao ni mhimu pia
👇👇👇👇👇 sijaleta nn 😄😄😄Enhee!!mbona hujaleta za loans, leo umeingia cha kike jomba..
Naona mtu akianza kunengua sasa hivi
Ulitaka nilete mara ngapi??🤣🤣👇👇👇We jamaa unajitia ujuaji lkn kichwani mweupe sana..
Haya tueleze ni berth zipi hzo wanazomiliki
Wambie wakupe list ulete hapa na sisi tujue hzo loans, maneno matupu tumewaachia watoto wa kike
Lete link hapa, hapana ficha kitu hapana..leo lazima tuwekane sawasijaleta nn
Fully paid 3 and 17 loan miaka 40 ya shirika alaf munahangaika kutafuta mchawi wa loss
View attachment 1732949
Owner KQ, hapo ndipo hupataki sasa..sijaleta nn
Fully paid 3 and 17 loan miaka 40 ya shirika alaf munahangaika kutafuta mchawi wa loss
View attachment 1732949
Sio mm ni waziri wenu macharia 🤣🤣👇Wambie wakupe list ulete hapa na sisi tujue hzo loans, maneno matupu tumewaachia watoto wa kike
Usiseme hukunielew bro 🤣🤣👇👇Lete link hapa, hapana ficha kitu hapana..leo lazima tuwekane sawa
Link gani unataka chagua tu 🤣🤣🤣Lete link hapa, hapana ficha kitu hapana..leo lazima tuwekane sawa
Yani ni simple and clear 20 leased 17 loan through foreign banks and 3 fully paidOwner KQ, hapo ndipo hupataki sasa..
Nasubiria link jomba..
Haiwezekani shirika lipate hasara na wakati kuna madeni ya watu huku walal hawaitishi ndege zao
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 mutarudisha vipi wakat kuna mikono ya wakubwa ndio wanapokula hapo wakicheza mchezo na wenye ndegeOwner KQ, hapo ndipo hupataki sasa..
Nasubiria link jomba..
Haiwezekani shirika lipate hasara na wakati kuna madeni ya watu huku walal hawaitishi ndege zao
Wewe fala kweli wenye ndege zao lazima walipwe ndio hio loss tunayozungumzia hapa munatumia pesa za tax payers kulipa ndege zao huku hali ya kampuni inahemea makalio👇👇👇👇😂😂😂Owner KQ, hapo ndipo hupataki sasa..
Nasubiria link jomba..
Haiwezekani shirika lipate hasara na wakati kuna madeni ya watu huku walal hawaitishi ndege zao
Loan raha sana 😀😀😀😀