Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Green park terminus
IMG_20210319_231920.jpg
IMG_20210319_231916.jpg


 
hakuna Rais mwenye chuki na Kenya ila tu wabongo hatuchezi na kima ukileta ujuaji tunakuzingua
Magu alikua na personal hate towards kenya hio si kitu cha kupingana, kile hakujua ni kwamba kenya and tanzania is bigger than him.
 
Magufuli failed miserably on foreign policies 2/10. Alipaswa kutenganisha nchi na yeye binafsi. Mara nyingi alifanya maamuzi kutokana na hisia zake~ mfano ni sera zake kwa nchi ya kenya. Uhuru nilimpendea kitu kimoja tu! Anajua kudeal na viongozi vichwa mbovu wanaoangalia short term gains pekee. Natumai huyo mama ataipa EAC intergration kipaombele.
 
Bwana Mapesa Tz ina system so haiwezi kuyumba hata cku moja, nadhani umejionea mwenyewe kwamba The giant Magu ametutoka lkn hakuna aliyehoji kwamba nani atakaimu kiti chake na wala hakukuwa na matata yn kwamba slightly mwenye haki kachukua nchi pasipo kuhoji ni mwanamke au mwanaume, zen zinapotoka takwimu kwamba Tz leads in EA in democracy index muwe mnaelewa.
Kunyaland uchaguzi wao mwakani,kampeni wameanza mwaka huu,wana uchu wa madaraka sana!
 
TISS ikiwa imekufa labda
Genge la wahutu sio TISS ,najua wajua kwamba as per Katiba anatakiwa ateue pm mpya na Serikali mpya Ili wote waape kiapo cha utii kwa Rais

Wewe unachojua ni stori tuu but mambo deep huko hutokaa ujue.Hold on ngoja tuzike mkuu utaona mengi.

Zama zimebadilika na mda unakimbia Sana ,utajiuliza hii ni coincidence au ! Maana all former wagalatia are no more but mujahidina are there.
 
Back
Top Bottom