Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Ndo hivyo sasa sijui unatakajeAkilia mafiii alafu unajita opportunity cost![]()
Ndo hivyo sasa sijui unatakajeAkilia mafiii alafu unajita opportunity cost![]()
Wewe jamaa Leo unaongea baseless points LeoWewe mwenye facts endelea nazo kwani nimekuomba
Pole kwamba hujui marehemu ndio kafikisha huko,utavuna ulichopanda unalilia sifa njema wakati ulipanda majanga?Sasa kama watz wenyeww wanaropoka hivyo itakuaaje mashirika kama cnn na BBC uko daah yani upinzani tz hamna chochote
Achana wa wajinga hao,huku wanalazimisha mtu wao apendwe kwa nguvu na huku wao wanaleta chuki kwa wasiowakubali,hii ndio jadi ya unafiki wa matagaUnataka kuketa chuki sasa..
Kwn mpka a post jamani
Endea kuota mkuu ,your wishful thinking will never happen aapishwe kuwa Rais afu asiwe chairwoman?Mama wasimpe uenyekiti wa ccm taifa.. wasubiri Kwanza mpaka 2023
Kama atazingua 2025 asirudi
Lazima ziwe baseless maana naongea usichopenda kusikiaWewe jamaa Leo unaongea baseless points Leo
Mi namuogopa sana mkwere na lile genge lake,yule jamaa si mtu mzuri kabisaNatabiri yafuatayo;
1.Upigaji wa madini hasa kule mererani
2.Kurudi kwa cartels za ccm,madawa ya kulevya,ufisadi Kama wa Escrow nk.
3.Tanzania kurudi kuwa Shamba la bibi.
4.Mikataba ya ufisadi.
5.Siri za serikali kuvuja.
6.Ya kibiti kujirudi.
7.Lissu kusumbua.
8.wananchi wa chini kutosikilizwa na viongozi.
9.Uzembe kujirudia kwa watumishi
10.Viongozi waliokuwa chini wa JPM kuandamwa.
Mawazo yako kama yangu, yeye ndie mstaafu aliyebaki akijihusisha na siasa chini kwa chini, Mwinyi hana time na upuuzi huu.Mi namuogopa sana mkwere na lile genge lake,yule jamaa si mtu mzuri kabisa
kama alishindwa kupata huruma2020 hapati tena !!You do this to me, ill spit on your grave.
View attachment 1729217
Aah we mwenyewe wajua kura hazikua free and fair.kama alishindwa kupata huruma2020 hapati tena !!
Ila genge la Chato ndio zuri kwako? Imeisha hiyoo JK ndio baba mshauri kwa sasa, swallow this.Mi namuogopa sana mkwere na lile genge lake,yule jamaa si mtu mzuri kabisa
Wewe kwa akili yako finyu unaweza weka VP wa kuku outshine? Pole Sana subiri maumivu yaishe ndio uje kutoa commentkatikat ya Mama Samia na Majaliwa .. VP.. awepo mtu mkali.. huyu mama ana mamlaka lkn ni mpole sana
.. otherwise kuna watu watamchukulia poa kufanya madudu yao
Nimefurahi saaaana,orodha iko mezani na mataga wataufyata sasaSamia Suluhu aapishwa kuwa rais mpya wa Tanzania.
Huyu ni diplomat alienda hadi kumuona Lissu tofauti na wale wachawi wengineIchoboy natumai huyu mama hana chuki na kenya kama marehemu.
Nyie mtasababisha huu uzi uwe suspended km ule mwingine uliofutwa mda si mrefu, wacheni huu upuuzi.You do this to me, ill spit on your grave.
View attachment 1729217