Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ona hawa mafilauni, yn hawana hata chembe ya aibu, waafrika kutokana na ufinyu wa akili na umaskini ulio kwenye DNA wamefanikisha propaganda hizi.View attachment 1729034
Ulaya na demokrasia yao waliwezaje kusambaza corona? yaani watu walikuwa wanamchukia Magu Sana,Jana nimeona KTN wanasema,Sasa kuna nafasi nzuri kuimarisha ushieikiano wa Kenya na Tanzania,nikagundua Hawa 🦍 wanashangilia kifo chake
 
Mama Samia has worked closely with the late JPM than Kikwete. She now knows and understand what Tanzanians need and are up to. What is so impressing is that JPM through his leadership has set standards for new top government leaders. I don't think that Samia's government will completely divert from the standards she has learnt from the late JPM. After all, the weaker the CCM goverment leadership the stronger opposition takes shape. And I am pretty sure that CCM won't allow this to happen so easily coz they have learned a lesson from Kikwete's weaker leadership!
Unafikiri kundi lile la kina JK linajali standard basi, wao ni kupiga tuu. Waliotuletea Hayati Magufuli naamini watahakikisha misingi ile kwa mama Samia hairudi kule. Nimeshaona watu wanaanza kuwaongelea wakina February, dah hadi moyo unapata mshtuko. Kweli hawa vichwa maji?
 
Unafikiri kundi lile la kina JK linajali standard basi, wao ni kupiga tuu. Waliotuletea Hayati Magufuli naamini watahakikisha misingi ile kwa mama Samia hairudi kule. Nimeshaona watu wanaanza kuwaongelea wakina February, dah hadi moyo unapata mshtuko. Kweli hawa vichwa maji?
Halafu unajua January Makamba na Kikwete hawajatoa pole ya kupotelewa na JPM!
 
Unafikiri kundi lile la kina JK linajali standard basi, wao ni kupiga tuu. Waliotuletea Hayati Magufuli naamini watahakikisha misingi ile kwa mama Samia hairudi kule. Nimeshaona watu wanaanza kuwaongelea wakina February, dah hadi moyo unapata mshtuko. Kweli hawa vichwa maji?
Ni kweli but lile kundi hslitaoewa nafasi kwa sababu mama Samia anajua kila kitu juu yao na pia serikali tayari ipo.

Wazee wakiona mana Samia anataka kufanya mabadiliko makubwa sana ni lazima watamuita na kuuliza kulikoni.
 
Sisi hatutaki kuwa maskini tena Ili ujenge daraja hata kama linasaidia watu 6 na kuacha 2,000

Bila shaka Marais waislamu hawajawahi kutuangusha kwenye welfare economy

Mnaotegemea kukunja ndita na kufokeana tupisheni kidogo ,even those miradi itafanyika but not kwa pupa huku watu wanazidi kuwa maskini,mama will never take this approach na kamwe asijeanza kuongoza kwa kivuli cha Magu atayumbishwa Sana na mataga wasaka njaa na sie wapinzani tutamnanga hadi aone kiti chamoto.

So mama kama product ya JK na mwanadiplomasia mzuri na ambae sio mshamba wa madaraka bila shaka atavuta wawekezaji na pesa zitakuja na miradi itafanyika bila maumivu kwa watu.

Wachawi wa Tzn ni maccm hayo hayo yanayojitia yenye uzalendo, tayari kuna kadhia ya kuiba pesa BOT ati za kuifariji familia.

Mataga wote wa humu poleni Sana na mimi nimtakie mama kila la kheri maana kesho anapewa rungu rasmi.
Kichwa kubwaaa akili sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Natabiri yafuatayo;
1.Upigaji wa madini hasa kule mererani
2.Kurudi kwa cartels za ccm,madawa ya kulevya,ufisadi Kama wa Escrow nk.
3.Tanzania kurudi kuwa Shamba la bibi.
4.Mikataba ya ufisadi.
5.Siri za serikali kuvuja.
6.Ya kibiti kujirudi.
7.Lissu kusumbua.
8.wananchi wa chini kutosikilizwa na viongozi.
9.Uzembe kujirudia kwa watumishi
10.Viongozi waliokuwa chini wa JPM kuandamwa.
 
Technically VP post ni ceremonial na akipandishwa ni bora kwa Mama kuliko kumuacha kule aunde genge la Urais na kuwa kikwazo kwa policy transformation zake

Mama tafuta PM wako awe mkuu wa shughuli za serikali na kamwe usiongoze kwa kivuli cha Magu ,jiamini deliver tunu zako alizokupa Mungu ,Magu is gone na mfano mzuri wa kuchukua kwa Magu ni kusimamia utendaji mzuri nothing else.
Akilia mafiii alafu unajita opportunity cost [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Screenshot_20210319-050901.png

Hii kitu nimekuwa nikiiwaza sana, kile kifaa kinaweza kuwa targeted.
 
Ni kweli but lile kundi hslitaoewa nafasi kwa sababu mama Samia anajua kila kitu juu yao na pia serikali tayari ipo.
Kweli, huyu mama hakutokea from nowhere, kama unakumbuka alikuwepo kwenye mchakato wa katiba pamoja na wazee Butiku, Warioba, Salim, Kabudi, Bashiru na Pole pole.
Wazee wakiona mana Samia anataka kufanya mabadiliko makubwa sana ni lazima watamuita na kuuliza kulikoni.
Unakumbuka kwenye mazishi ya katibu mkuu kiongozi, Magu alisema, "yeye alimpendekeza Eng Kijazi kwa Mkapa ila akadokeza Kikwete anajua huo siyo utaratibu". Akimaanisha kuna watu wenye nguvu nyuma ya maamuzi Rais.
 
Wapinzani wa kiafrika ni wanafki sn, kwa mfano mpk leo sijajua sababu za kumchukia Magufuli, ukiangalia kwa undani utagundua ni kwasababu kawabana ktk mkate wao wa kila siku, na co aliwabana bali alitaka wapate mkate wao kwa haki kwamba wahudumie wananchi ipasavyo ndipo wapate mkate wao, wengi wa opposition leaders ni wafanya biashara haramu hivyo ujio wa Magu ulivuruga deals zao na ndiyo maana wanakesha wakihubiri kwamba Magu hatakiwi na wananchi wengi kitu ambacho si kweli kabisa, bali Magu hakutakiwa na wazandiki, wala rushwa, na washenzi.

Wananchi walio wengi wameumizwa na kifo chake na ukitaka kuamini subiri uone maziko yake yatakavyokuwa, mm nipo mtaani mamia ya watanzania wameumia sana na mpk wengine wamefikia hatua ya kukata tamaa kabisa.
yaani jana asubuhi nimepita eneo nikakuta mama ntilie wanasikikiza redio.wengi hawakupata taarifa usiku ule wa juzi.

wanaongea kuhudumia kwa unyonge sana.
kwakweli roho iliniuma,mpaka nikaanza kumlaumu Mungu tena.

aaaah.
 
Huyo ni troll mkuu alafu pia ni mshenzi, tulikubaliana kumkaushia lkn wkt mwingine inashindikana kwn ana maneno yanayokera na kuudhi mno, hakuna mkenya au mwanajamii forums yeyote mwenye kukera km huyo.
anafanya makusudi,halafu bahati mbaya mods nao wanafanya kazi kwa utaratibu wa itikadi.

cha msingi ni kutokubali atutoe kwenye reli.
 
Natabiri yafuatayo;
1.Upigaji wa madini hasa kule mererani
2.Kurudi kwa cartels za ccm,madawa ya kulevya,ufisadi Kama wa Escrow nk.
3.Tanzania kurudi kuwa Shamba la bibi.
4.Mikataba ya ufisadi.
5.Siri za serikali kuvuja.
6.Ya kibiti kujirudi.
7.Lissu kusumbua.
8.wananchi wa chini kutosikilizwa na viongozi.
9.Uzembe kujirudia kwa watumishi
10.Viongozi waliokuwa chini wa JPM kuandamwa.
na hapa ndipo ninaporudi kwa mola na kumuuliza,"Mungu ni nini hiki umetufanyia"


kwakweli kwa sasa wacha niwe mtazamaji tu,maana kama ni kupigwa ni Mungu mwenyewe ametaka tz iharibike.
 
Back
Top Bottom