Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Keshakula ban, huyu mdomo huwa unamponza, ana mdomo mchafu kuliko uchafu wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
Screenshot_20210319-220552.jpg
 
Mkuu,hiyo inaonesha jinsi Tanzania 🇹🇿 ilivyo na influence kubwa sana,Kama huamini, Diamond platinumz au Rayvanny,wakitoa wimbo una hit Kenya kuliko wasanii wao,hivyo,wanajua hatma yao ipo mikononi mwa TANZANIA 🇹🇿
hakuna taifa la ajabu kama kenya[emoji23][emoji23].. wana mambo yanayowahasibu ila wanachagua kufatilia yetu..
  • nimeona wanalalamika kwann tunamuita mama samia badala ya rais samia
  • wao ndo wamepost picha nying ya mama samia leo kuliko watanzania
  • sisi rais wao akiapichwa, ni media tu ndo zitareport lkn sio raia.. ila wao sasa, both media na raia wanamuongelea rais wetu
 
anajiita Birdman a.k.a young tozy[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Harudi tena, alitaka kutumia kifo cha mpendwa wetu km chance ya kutusahaulisha uharo aliotoa, anadhani tumesahau, na hata akirudi mwendo ni ule ule mpk abadili ID na hata akibadili tutamtrace tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom