




Nawashuru mods kwa hill.Keshakula ban, huyu mdomo huwa unamponza, ana mdomo mchafu kuliko uchafu wenyeweView attachment 1729629
Nawashuru mods kwa hill.



aliniuzi mpaka nikatukana tusi amballo nalitoa kama siku ya sikukuuWameanza kumbweraaaaWameanza tena wapinzanimm niliwaambia huyu mama atakua tight zaidi ya mzee tulieni muone game sasa



hakuna taifa la ajabu kama kenya.. wana mambo yanayowahasibu ila wanachagua kufatilia yetu..
- nimeona wanalalamika kwann tunamuita mama samia badala ya rais samia
- wao ndo wamepost picha nying ya mama samia leo kuliko watanzania
- sisi rais wao akiapichwa, ni media tu ndo zitareport lkn sio raia.. ila wao sasa, both media na raia wanamuongelea rais wetu
hizo zote ni zake bwana mapesa mingi ndani ya dunia hakuna chezea huyo mungikiBwana Mapesa naona unatumia msiba wa Magu kurudi kundini, karibu sana Bwana mapesaView attachment 1729324


daah nimachungu kwa kweli hata mama imemuuma alishazoea kumuona mumewe akiwa na mama samia kwenye harakati za kitaifa sasa kamuona yupo peke yake
Harudi tena, alitaka kutumia kifo cha mpendwa wetu km chance ya kutusahaulisha uharo aliotoa, anadhani tumesahau, na hata akirudi mwendo ni ule ule mpk abadili ID na hata akibadili tutamtrace tuuanajiita Birdman a.k.a young tozy![]()





Nani Ummy? (Maana naona km yupo moyoni kwa mama) ila haiwezekani kaka.Nahisi tunaweza kuwa na VP au Waziri Mkuu mwanamke.
Mr mapesa fakeTeargass jina lako kwa ss ni Bwana Mapesa, popote nitakapokuona nitakuita kwa jina hili utake usitake![]()

