Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Keshakula ban, huyu mdomo huwa unamponza, ana mdomo mchafu kuliko uchafu wenyewe
Screenshot_20210319-220552.jpg
 
Mkuu,hiyo inaonesha jinsi Tanzania 🇹🇿 ilivyo na influence kubwa sana,Kama huamini, Diamond platinumz au Rayvanny,wakitoa wimbo una hit Kenya kuliko wasanii wao,hivyo,wanajua hatma yao ipo mikononi mwa TANZANIA 🇹🇿
hakuna taifa la ajabu kama kenya.. wana mambo yanayowahasibu ila wanachagua kufatilia yetu..
  • nimeona wanalalamika kwann tunamuita mama samia badala ya rais samia
  • wao ndo wamepost picha nying ya mama samia leo kuliko watanzania
  • sisi rais wao akiapichwa, ni media tu ndo zitareport lkn sio raia.. ila wao sasa, both media na raia wanamuongelea rais wetu
 
Back
Top Bottom