Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

F2C69CF4-93B2-4569-B5A1-E574D3B2E3B8.jpeg
 
polen kwa kuangukiwa na ndege


Nyinyi ndege huwa hazianguki kwa sababu hamna ndege. Huwa mnakuja Kenya kukodisha ndege ili kufanya campaign zenu za kisiasa. Uganda vivyo hivyo wanakuja huku kukodisha ndege.
 
Nyinyi ndege huwa hazianguki kwa sababu hamna ndege. Huwa mnakuja Kenya kukodisha ndege ili kufanya campaign zenu za kisiasa. Uganda vivyo hivyo wanakuja huku kukodisha ndege.
Kwa mawazo yako haya ya kipumbavu unafikiri Tanzania haiwezi kununua ndege!?
 
. Upinzani wa tz ulikua umefika huku .. tz hakuna wapinzani kuna wapinga maendeleo,roho mbaya,chuki na ushenzi. Najua wengii hii hamkuwahi kuona oky nawapa fursa hiyo now .. Cc Venus Star ichoboy01 The best 007 Geza Ulole Tony254 . Nini maoni yenu .je tuendelee na CCM au tuwape nchi Hawa watu.? Mzee wa against CCM Yosef Festo nini maoni yako .?
 
Back
Top Bottom