Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we jamaa tupo kwenye majonzi..
nimecheka sana walah mpk nimeulizwa vip tena mbona unafurahi
Huyu jamaa hajui kua masihara Tanzania ni jambo la kawaida . Tutamkera hadi akome. Tanzania everywhere unaweza kuta watu wanaongea na kutaniana kama wanajuana kumbe ndio mara ya kwanza kukutana. Utu ni linalothaminiwa sana. Angalia ile clip ya mama samia anafungua baraza la mawaza wamekosea wamempa kalamu nyeusi . Kaomba very polite "naomba kalamu nyekundu " kutumia neno naomba nyang'au wanaona ni utumwa. Utu unathamani ndio silaha ya kwa inayoilinda Tanzania. Huyo boss mahela tutamkosesha raha hadi akimbie tena
 
Kaka umeongea jambo la msingi sana, kitambo, team ya kamandamkuu walilijua hilo laweza kutokea ndio maana ktk misafara yake yote utaona lile gari kama double cab lenye signal jammers juu.

Unfortunately, they waited until akiwa kwenye mazingira yaku relaz nyumbani/ofisini ndio wakafanya huo unyama wao.

Nafikiri utakumbua mwezi uliopita kuna meli kubwa mbili za jeshi la nchi fulani kubwa tuliambiwa hapa jamvini kuwa zimetia nanga ktk mchi jirani, na tukaambiwa kuwa hatua hio ni kuhakikisha ulinzi wa nchi hio jirani, i dont know from which kind of threats!

Inaonenkana kabisa meli hizo mbili zinahusika na unyama huo kwa kutuma high-frequency interfering signal s kwenye kifaa cha kusaidia mapigo ya moyo wa kamanda mkuu. Huu unyama weten ulipangwa uitambo, Indio maana yule mkimbizi wa Ubelgiji alikuwa najua tayari nini kitatokea akaanza kuropoka mitandaoni, aisee wala asijaribu kutia mguu tena bongo, ni Kazila atueleze ni nani walifadhili tuo unyama.......

........
....
Kaka katika kitu nilichokuwa najiuliza ni vipi mbeligiji apate information, mpaka nikahisi labda walinzi wake, mpaka nimehisi labda ni inside job.
 
Hehehehee mm mikenya nilishajuaga dawa yao ni ground tu hakuna kingine, ukiliona likenya linapiga piga kelele nenda nalo ground kwa hicho hicho kdg ulicho nacho believe me utamchosha mana Wakenya wana ufukara wa kushangaza dunia hii sema majivuno ss.
 
Hahahaha Bwana Mapesa natumai haurudi tena mwezi huu
IMG_20210319_212129_492.jpg
 
Back
Top Bottom