Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu unajua January Makamba na Kikwete hawajatoa pole ya kupotelewa na JPM!
Katika marais wastaafu ninao waheshimu ni watatu tu, Nyerere (RIP), Mzee Mwinyi na Mkapa (RIP). Kikwete ni mnafiki na ana roho mbaya sana japo huwa anajichekesha chekesha lakini ana roho ya kwanini kwelikweli na hana msimamo! Kwangu binafsi hajawahi na hatawahi kuwa mojwawpo ya marais bora hapa Tanzania!
 
Iwe closely au apart wewe jua kwamba hii ni new personality anaenda kufyeka genge la Chato na kamwe hataongoza kwa kivuli cha marehemu
Endelea kujipa matumaini hewa. There is an operating system behind mama Samia. Hivyo usidhani atakuwa anajiamlia anavyotaka tu. By the way kama upo upinzni ni bora umshauri Tundu arudi ili apate mapokezi anayostahili.
 
Katika marais wastaafu ninao waheshimu ni watatu tu, Nyerere (RIP), Mzee Mwinyi na Mkapa (RIP). Kikwete ni mnafiki na ana roho mbaya sana japo huwa anajichekesha chekesha lakini ana roho ya kwanini kwelikweli na hana msimamo! Kwangu binafsi hajawahi na hatawahi kuwa mojwawpo ya marais bora hapa Tanzania!
Ana kicheko cha kinafiki,siku ile ya mazishi ya mkapa,wenzake akina mwinyi wanahuzunika ye anachekacheka tu
 
Ukimfuatilia utagundua kama kuna kitu anachofanya behind the curtain, yaani Mimi namuona kama si mtu mzuri saaana
Huyu Kikwete hana la maana sana zaidi ya kutaka Ridhwan na Mama Salma wafikiriwe unaibu waziri kwenye serikali anayoingoza mama Samia. Amebakia kuwa opportunist tu kama ilivyo ID ya fala mmoja kwenye huu uzi .But this won't be that easy !
 
Alimfanyia kitu mby lkn kwa maslahi ya taifa ila yeye amechukulia personal na ndiyo maana akashindwa ku move on.
Mi mwenyewe magu alinifanyia kitu mbaya alipoingia madarakani 2015,alinitumbua ktk ofisi flani niliyoingia kimagumashi..mwanzoni nilipata shida kiasi,lakini baadaye nika-flash,sikumchukia,nikasema anyway lakini mzee ni jembe let things go..
 
katikat ya Mama Samia na Majaliwa .. VP.. awepo mtu mkali.. huyu mama ana mamlaka lkn ni mpole sana ‍♂️.. otherwise kuna watu watamchukulia poa kufanya madudu yao
wewe una uhakika Majaliwa atabaki? unajua Kikatiba anaweza kuteaua Baraza Jipya la Uwaziri!
 
Sie tulijua mapema Sana wakati marehemu anamtuma tuma kuwakilisha wala hata hakuwa anajua kwamba system is working to prepare her for the presidency

Mataga genge yamepigwa na butwaa hata hayaamini kinachotokea,tayari keshakabidhiwa rungu na orodha iko mezani wakenue tena basi
We tahira kaa mbali na ubongo wako
 
Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
20210319_140452.jpg
20210319_135550.jpg
20210319_135531.jpg
20210319_135624.jpg
20210319_135515.jpg
20210319_135610.jpg
 
Back
Top Bottom