Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Acha shobo za kijingaView attachment 1728874
Hawa wote kwisha,,ogopeni corona,,vaa mask,,R.I.P wazee
Acha shobo za kijingaView attachment 1728874
Hawa wote kwisha,,ogopeni corona,,vaa mask,,R.I.P wazee
Nimecheka kama mazuri,pole Sana mkuuNimelia sana mkuu usiku wote
tatizo la CCM wengi ni vilaza wapo kimaslahi binafsi na unafki mwingi,,,,ndiyo maana hayati JPM alipata tabu sana ya kutumbua tumbua wengi wanafanya kazi mpaka wasukumwe sukumwe....Aah wewe siunajua historia ya hawa viumbe wa ccm alichokua anafanya magufuli ni mawazo ya nyerere sasa je hawa wataendeleza au ndo walewale ya akina mwinyi na mkapa
Sisi hatutaki kuwa maskini tena Ili ujenge daraja hata kama linasaidia watu 6 na kuacha 2,000Mipango ya Magu ni mikubwa! Ujue ana lots 2 kwenda Mwanza then ujiji-Msongati then Isaka-Kigali then Mtwara-Mbamba bay then LNG then ujenzi wa jiji la Dodoma! Akae mbali na "les Affaires" Kikwete maana soon tutaona Ridhiwani Waziri mara wakina Makamba wakina Nape! Wote wana ambitions za higher office na si watendaji bali wazee wa makundi!
Dunia sio yako ,hapa Duniani lazima ujifunze mambo ya utawala na usalama,mama amejifunza anajua.Haha!!best achana na haya mambo kwanza jamani, uamuzi wa kutokua wao huaga mgumu sana huenda ukapandikiziwa hata sumu..
M nina wasi wasi sana kuhusu mzee wenu, kuna kakitu nakashuku lkn acha nikae kimya tu
Wapinzani wa kiafrika ni wanafki sn, kwa mfano mpk leo sijajua sababu za kumchukia Magufuli, ukiangalia kwa undani utagundua ni kwasababu kawabana ktk mkate wao wa kila siku, na co aliwabana bali alitaka wapate mkate wao kwa haki kwamba wahudumie wananchi ipasavyo ndipo wapate mkate wao, wengi wa opposition leaders ni wafanya biashara haramu hivyo ujio wa Magu ulivuruga deals zao na ndiyo maana wanakesha wakihubiri kwamba Magu hatakiwi na wananchi wengi kitu ambacho si kweli kabisa, bali Magu hakutakiwa na wazandiki, wala rushwa, na washenzi.Current Tanzania opposion have no quality of leading a country.CCM will lead this country for the next 100 years unless we have to be lucky to have best opposion party.lisu na co have no quality of leading this great country.
Pole Sana taga mkuu wa humu unaeongozwa kwa mihemukoUki connect dots unapata line, wale wa karibu yake wengi walianza kupotea, la kesho huwezi kulijua ila tungejua mzee asingelitoka Chato hata hao wakuu waliokuwa wanaenda kule ilipaswa wasikutane naye kirahisi rahisi, kifo ni haki yetu wanadamu lkn mbn wamekufa kwa kufuatana vile? Mnasema covid, hyo covid inaandama viongozi tu? Mbn raia huku shwr tu, hizi siasa za Afrika ni ngumu sana na kwakweli sidhani kama itawezekana Afrika kufaulu mana unafki umekuwa mwingi.
Abaki hapo hapo PM panafaa sanahiv majaliwa anafaa kubaki kuwa prime minister au VP? naona kama nae hapendi madudu, uzembe, ufisadi kama JPM
akiwa post ipi kati ya hizo mbili ataweza kuwa mkali kidogo??
Kabla ya corona watu walikua hawafi??? Watu walikua hawaumwi??? Hii akili munaitoa wapiView attachment 1728874
Hawa wote kwisha,,ogopeni corona,,vaa mask,,R.I.P wazee
Technically VP post ni ceremonial na akipandishwa ni bora kwa Mama kuliko kumuacha kule aunde genge la Urais na kuwa kikwazo kwa policy transformation zakeMajaliwa apandishwe daraja awe VP
Fala wewe c ulisema Magu hafai kwa chochote ss iweje uanze kutaja mazuri yake, kuwa makini la sivyo leo either mm au ww au wote tutakula ban, wewe una IDs nyingi mm cna ID nyingine so nitapotezea haina shida.Technically VP post ni ceremonial na akipandishwa ni bora kwa Mama kuliko kumuacha kule aunde genge la Urais na kuwa kikwazo kwa policy transformation zake
Mama tafuta PM wako awe mkuu wa shughuli za serikali na kamwe usiongoze kwa kivuli cha Magu ,jiamini deliver tunu zako alizokupa Mungu ,Magu is gone na mfano mzuri wa kuchukua kwa Magu ni kusimamia utendaji mzuri nothing else.
Amna wale si ni rafiki zenu sio mabeberu au? Mlipompora mchina reli na bandari mlitegemea nini?Huko wanapovaa barakoa hawafi? Huo ni mpango mkakati we jamaa ambao waliotumwa wameutimiza, km covid ni hatari hivyo mbn huku mtaani tuna dunda? Alafu one thing shud tell you something baada ya ziara fulani ya watu fulani kutoka bara fulani tukaanza kupata misiba mizito ya viongozi wetu na wengine almanusura na pengine bado hali zao co nzr, ss swali ni je corona ni selective disease? Na mbn baada ya ziara hyo viongozi hasa walio karibu wamefuatana kwa vifo?
Wake up African man don't play the foolish we are in war.
The best 007 naomba utazame hii video ya CNN kisha unipe maoni yako. CNN ni washenzi sana. Wanasema kwamba amekufa kwa covid 19. Halafu kuna Mwanahabari kutoka Kenya pia anasema vivyo hivyo. Yaani wanapotosha watu.
Then kabla ya corona watu hawajafa kabla ya corona watu hawajaumwa hvi nyinyi mzungu aliwatia nn kichwani mbona mumekua mafala sana 🧐🧐🧐Always Tanzanians are brainwashed by ccm,, corona imefyeka hao wota,,we huoni si jambo la kawaida viongozi kufa hovyo wakifuatana 🙄
Fala wewe c ulisema Magu hafai kwa chochote ss iweje uanze kutaja mazuri yake, kuwa makini la sivyo leo either mm au ww au wote tutakula ban, wewe una IDs nyingi mm cna ID nyingine so nitapotezea haina shida.
Mama watoto wangu kazini kwao wanavaa N95 mask pamoja na zile face shield na isolation gowns. Na bado akapata covid na hatimaye familia yote tukaipata. Hivyo vi mask vinavyouzwa mitaani havisaidii kitu.View attachment 1728874
Hawa wote kwisha,,ogopeni corona,,vaa mask,,R.I.P wazee
Mtaishaje sasa,JK anajua utawala ,miradi itafanyika bila kuustress uchumiAkimwendekeza Kikwete tumekwisha.