Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fala wewe c ulisema Magu hafai kwa chochote ss iweje uanze kutaja mazuri yake, kuwa makini la sivyo leo either mm au ww au wote tutakula ban, wewe una IDs nyingi mm cna ID nyingine so nitapotezea haina shida.
Imeisha hiyo, ni unataka kuelewa na kukubali kwamba Kazi ya Mungu haina makosa au uendelee kuishi kwenye emotions.

Sina mda wa matusi please tuko msibani hold on nchi iko salama kabisa na kesho VP anakula kiapo.
 
We need to get to know some of these fool in real life, and I am willing to pay some thugs to **** them up! We need lecture this idiots some lessens in real life.
Pole Sana mkuu,kubali matokeo bwana alitoa na bwana ametwaa Kazi yake haina makosa sasa.

Siku sio nyingi utasahau na kuwa normal kabisaaaa.
 
Tatizo alikuwa nalo mda mrefu ila mazingira yananitatanisha.
FB_IMG_1616096355874.jpg
 
Jamani katika kipindi hichi kugumu (kwa wale tulioguswa) tukumbuke kupractice deep breathing, kila baada ya dakika 10 hivi ili kuhakikisha miili yetu ina oxygen ya kutosha.

Unapokuwa na mawazo mengi ya huzuni cortisol level inaongezeka (stress hormone) na kufanya mishipa yako ya damu kusinyaa na hivyo kupunguza kiwango cha damu safi mwilini. Pia mawazo mengi yanakufanya upumue juu juu (shallow breathing) na kupunguza kiwango cha oxygen zaidi.
 
New personality is coming zao la JK full stop,new chapter is being opened
Mama Samia has worked closely with the late JPM than Kikwete. She now knows and understand what Tanzanians need and are up to. What is so impressing is that JPM through his leadership has set standards for new top government leaders. I don't think that Samia's government will completely divert from the standards she has learnt from the late JPM. After all, the weaker the CCM goverment leadership the stronger opposition takes shape. And I am pretty sure that CCM won't allow this to happen so easily coz they have learned a lesson from Kikwete's weaker leadership!
 
Back
Top Bottom