Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,289
- 7,065
. Mradi ulikua uishe huo na kumejengwa vibaya sana ,take a look .usijipe moyo sisi sio size yenu 😂😂😂
Sasa unataka kulinganisha project $540m ya kujenga nyumba za kuishi elfu saba kwa shama la ekari 300 na project ya viwanda ya $4 Billion kwa shamba la ekari 5,000 !!!!! Alafu unadai eti sisi si zise yenu 🤣 🤣 🤣 Watanzania mlirogwa na nani.
Kweli nakubal nyinyi si zise yetu, bado mko nyuma sana!