Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

picha siyo vita
Ukitupiwa kombora ya kinuklia vita inaisha upende usipende. Tazama fire-ball ya nuclear bomb na mushroom cloud yake inavyofanana
images (6).jpeg
images (7).jpeg
images (8).jpeg
images (9).jpeg


Uliza Wajapani wa Hiroshima na Nagasaki watakueleza.
 
Pop ya China vs USA nani anaumeme mwingi? Kumbuka wamarekani hawazidi 300+M ilhali wachina ni zaidi ya 1.3B
Per capita (yaani ukizingatia mtu mmoja mmoja) Mmarekani mmoja anatumia umeme mwingi kushinda Mchina mmoja ila kwa ujumla Wachina wanatumia umeme mwingi kishinda Wamarekani.
 
Kweli man ..ila angalau tupate tu kitu cha uhakika ..which kwa video naona standards zimetulia wame consider hadi helipads kwenye vituo vidogo which is very good .. i wish waje wapewe tender ya kama phase 4 and 5 ya BRT design and build tuone watavyoipiga vizuri
Nahisi watapewa tenda nyingine
 
Naona soko la dhahabu limekaa vizuri sana. Yani na utalii ungekuwa vizuri bila kuwepo corona nadhani nchi ingekuwa kwenye position nzuri sana.

Hakika the future is promising.

Ya tourism tulishafika 2.6bil usd now imeshuka hadi around 1.2bil last year walau gold ina fidia ..tukiongeza Holticulture na Re export zetu zitafidia zaidi ndo maana wanahmasisha tulime maparachichi ndo green gold hiyo
 
Nimeona mna reserve ya dola bilioni 7 mwaka huu na hilo deni linazidi hiyo reserve account yenu lakini bado mnakopesheka. Mnafanya nini hadi wanaamini mna uwezo wa kulipa hata kama deni limezidi pesa iliyopo kwenye reserve account?
Good credit rating
 
Kenya 2 - 1 Tanzania
haitawai tokea tanzania itupige katika mchezo wowote View attachment 1726562
Haya mafala nilijua tu lazima yafungwe ndo mana wala ckujisumbua kufatilia mechi, Wakenya wala msishangilie kuyafunga hayo masenge, sisi mpira hatujui ila tuna ligi bora cz pesa ya ku invest kwenye soka tunayo, tunaweza kununua mchezaji yyte hapa East and Central Africa na ndiyo maana ndoto za wachezaji ukanda huu ni kucheza Tanzania ila sisi km sisi mpira hatujui hilo halina ubishi.
 
Back
Top Bottom