Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hii picha ni ya lini?
Hii picha ni ya lini?
AAH WAPI MMEWAFUNGA YANGA SIO TANZANIA..Kenya 2 - 1 Tanzania
haitawai tokea tanzania itupige katika mchezo wowote View attachment 1726562
Haya matokeo sisi simba hayatuhusuAAH WAPI MMEWAFUNGA YANGA SIO TANZANIA..
Mnajua kutumia pesa za mikopo.View attachment 1725298
Ya kwanza zimepiata underground then ground level then juu
Nadhani US wana nguvu baharini kushinda nchi yoyote ile. Wana aircraft carriers 11 wakati china ina aircraft carriers 2 tu. US wana submarines nyingi zinazotupa makombora za kinuclear. Wanapatrol maji kote kote duniani. Wana aircraft carrier moja karibu na North Korea. Wana aircraft carrier nyingine karibu na China ready to react anytime. Wana aircraft carrier nyingie karibu na Iran, linazunguka tu ready to react anytime. Aircraft carrier inasindikizwa na battle fleet ya meli za kivita zinazorusha guided precision missiles kama Frigates na cruisers na pia wana submarines nyingi zinazozunguka aircraft carrier. Aircraft carrier imebeba ndege zaidi ya ishirini za kivita zinazorusha guided missiles. Kwa hivyo Marekani wana strongest Navy in the world bila mapingamizi.Saudi Arabia wanashika namba tatu duniani kwa bajeti kubwa ya ulinzi, lakini haipo katika top 10 ya nchi zenye nguvu za kijeshi, inazidiwa na Iran na Turkey, bajeti kubwa sio kigezo.
Kati ya nchi tatu 1)USA, 2)Russia 3)China, kila moja inaongoze katika eneo moja la nguvu za kijeshi.
1) USA inaongoza kwa kuwa na nguvu angani(the most powerful Air force)
2)Russian inaongoza kuwa na jeshi lenye nguvu zaidi ardhini
3)China inaongoza kwa jeshi la baharini, sasa hivi China inaongoza kwa kuwa na the best military drones.
Kwa ufupi, kati ya hizi nchi tatu zikiiingia vitani, hakuna nchi itakayoshinda vita bila usaidizi wa nchi zingina.
Jamaa kichwa hayupo sawa.so 5 MW ni ndogo?
China is catching up mzee aircraft carrier r good but its missiles can win wars! a reason why US is supicious of Russia every time!Nadhani US wana nguvu baharini kushinda nchi yoyote ile. Wana aircraft carriers 11 wakati china ina aircraft carriers 2 tu. US wana submarines nyingi zinazotupa makombora za kinuclear. Wanapatrol maji kote kote duniani. Wana aircraft carrier moja karibu na North Korea. Wana aircraft carrier nyingine karibu na China ready to react anytime. Wana aircraft carrier nyingie karibu na Iran, linazunguka tu ready to react anytime. Aircraft carrier inasindikizwa na battle fleet ya meli za kivita zinazorusha guided precision missiles kama Frigates na cruisers na pia wana submarines nyingi zinazozunguka aircraft carrier. Aircraft carrier imebeba ndege zaidi ya ishirini za kivita zinazorusha guided missiles. Kwa hivyo Marekani wana strongest Navy in the world bila mapingamizi.
Aircraft carrier yenyewe pia ina weapons zake ikiwemo missiles. Tazama aircraft carrier fleet moja ya Marekani kisha imagine kwamba ziko kumi na moja. Aircraft carrier fleet moja imetosha Marekani kufanya damage kubwa sana kwa adui wake. Hata mkiwashinda vitani, wana submarines zinazoweza kutupa kombora ya kinuklia inayoweza kufuta Kenya au Tanzania from the map.
View attachment 1726638
Hili submarine ya kizamani linaitwa USS George Washington na ndio submarine ya kwanza ya Marekani waliyounda inayoweza kutupa kombora ya kinuklia ikiwa imejificha baharini.
Hii hapa chini nayo ni Ohio class submarine na pia linabeba kombora la kinuklia.
View attachment 1726641
Kuharibu zaidi, wana bomber aircraft inayobeba bomu ya kinuklia. Marekani ukimshinda vita anaanza kuwachilia mabomu ya kinuklia. Hili ndege la kishetani hapa chini linawachilia mabomu ya kinuklia na kumaliza kabisa mechi bila mapingamizi. Linaitwa B-52 Stratofortress bomber
View attachment 1726646
Na hili nalo ni shetani lingine linabeba kombora la kinuklia linaitwa B-2 spirit
View attachment 1726653
Kuharibu zaidi wana ballistic missile ya kinuklia wanayoweza kulenga sehemu popote duniani na kulifuta from the map.
View attachment 1726677
View attachment 1726660View attachment 1726661
Hizi ballistic nuclear missiles ndio US hawataki North Korea wazipate. Maana wanaweza kupiga US nazo hata wakiwa huko North Korea kwa kubonyeza kidude tu.
Cc Sama boy 255
Wakenya mna mambo ya kitoto sana. Yaani rais aache kufanya kazi zake za kila siku aje kuwajibu ninyi public!?Hii picha ni ya lini?
huo ndiyo ukweliuchumi mkubwa hausemi uongo ndugu.
china kwa sasa wana generate 7+mln MW za umeme,wakifuatiwa na US wenye 5mln MW.
ni miaka 10 tu nyuma hapo china ilikuwa na 1mln MW.kwahiyo hata kwenye haya maswala ya kijeshi,sitaki kuamini kwamba china iko mbele ila haitachukua muda
Nina uhakika na niliyozungumza, ukiacha kuwa na Air craft carriers nyingi kuliko China, silaha zingine zote za majini kuanzia Submarine na zingine zote China amezidi USANadhani US wana nguvu baharini kushinda nchi yoyote ile. Wana aircraft carriers 11 wakati china ina aircraft carriers 2 tu. US wana submarines nyingi zinazotupa makombora za kinuclear. Wanapatrol maji kote kote duniani. Wana aircraft carrier moja karibu na North Korea. Wana aircraft carrier nyingine karibu na China ready to react anytime. Wana aircraft carrier nyingie karibu na Iran, linazunguka tu ready to react anytime. Aircraft carrier inasindikizwa na battle fleet ya meli za kivita zinazorusha guided precision missiles kama Frigates na cruisers na pia wana submarines nyingi zinazozunguka aircraft carrier. Aircraft carrier imebeba ndege zaidi ya ishirini za kivita zinazorusha guided missiles. Kwa hivyo Marekani wana strongest Navy in the world bila mapingamizi.
Aircraft carrier yenyewe pia ina weapons zake ikiwemo missiles. Tazama aircraft carrier fleet moja ya Marekani kisha imagine kwamba ziko kumi na moja. Aircraft carrier fleet moja imetosha Marekani kufanya damage kubwa sana kwa adui wake. Hata mkiwashinda vitani, wana submarines zinazoweza kutupa kombora ya kinuklia inayoweza kufuta Kenya au Tanzania from the map.
View attachment 1726679View attachment 1726680
View attachment 1726638
Hili submarine hapa juu ni ya kizamani linaitwa USS George Washington na ndio submarine ya kwanza ya Marekani waliyounda inayoweza kutupa kombora ya kinuklia ikiwa imejificha baharini.
Hii hapa chini nayo ni Ohio class submarine na pia linabeba kombora la kinuklia.
View attachment 1726641
Kuharibu zaidi, wana bomber aircraft inayobeba bomu ya kinuklia. Marekani ukimshinda vita anaanza kuwachilia mabomu ya kinuklia. Hili ndege la kishetani hapa chini linawachilia mabomu ya kinuklia na kumaliza kabisa mechi bila mapingamizi. Linaitwa B-52 Stratofortress bomber
View attachment 1726646
Na hili nalo ni shetani lingine linabeba kombora la kinuklia linaitwa B-2 spirit
View attachment 1726653
Kuharibu zaidi wana ballistic missile ya kinuklia wanayoweza kulenga sehemu popote duniani na kulifuta from the map.
View attachment 1726677
View attachment 1726660View attachment 1726661
Hizi ballistic nuclear missiles ndio US hawataki North Korea wazipate. Maana wanaweza kupiga US nazo hata wakiwa huko North Korea kwa kubonyeza kidude tu.
Cc Sama boy 255
Pop ya China vs USA nani anaumeme mwingi? Kumbuka wamarekani hawazidi 300+M ilhali wachina ni zaidi ya 1.3Buchumi mkubwa hausemi uongo ndugu.
china kwa sasa wana generate 7+mln MW za umeme,wakifuatiwa na US wenye 5mln MW.
ni miaka 10 tu nyuma hapo china ilikuwa na 1mln MW.kwahiyo hata kwenye haya maswala ya kijeshi,sitaki kuamini kwamba china iko mbele ila haitachukua muda
Kwanza Kenya haijawahi kushindwa kulipa deni katika historia yake. Pili Kenya ina good credit ratings.Nimeona mna reserve ya dola bilioni 7 mwaka huu na hilo deni linazidi hiyo reserve account yenu lakini bado mnakopesheka. Mnafanya nini hadi wanaamini mna uwezo wa kulipa hata kama deni limezidi pesa iliyopo kwenye reserve account?
picha siyo vitaNadhani US wana nguvu baharini kushinda nchi yoyote ile. Wana aircraft carriers 11 wakati china ina aircraft carriers 2 tu. US wana submarines nyingi zinazotupa makombora za kinuclear. Wanapatrol maji kote kote duniani. Wana aircraft carrier moja karibu na North Korea. Wana aircraft carrier nyingine karibu na China ready to react anytime. Wana aircraft carrier nyingie karibu na Iran, linazunguka tu ready to react anytime. Aircraft carrier inasindikizwa na battle fleet ya meli za kivita zinazorusha guided precision missiles kama Frigates na cruisers na pia wana submarines nyingi zinazozunguka aircraft carrier. Aircraft carrier imebeba ndege zaidi ya ishirini za kivita zinazorusha guided missiles. Kwa hivyo Marekani wana strongest Navy in the world bila mapingamizi.
Aircraft carrier yenyewe pia ina weapons zake ikiwemo missiles. Tazama aircraft carrier fleet moja ya Marekani kisha imagine kwamba ziko kumi na moja. Aircraft carrier fleet moja imetosha Marekani kufanya damage kubwa sana kwa adui wake. Hata mkiwashinda vitani, wana submarines zinazoweza kutupa kombora ya kinuklia inayoweza kufuta Kenya au Tanzania from the map.
View attachment 1726679View attachment 1726680
View attachment 1726638
Hili submarine hapa juu ni ya kizamani linaitwa USS George Washington na ndio submarine ya kwanza ya Marekani waliyounda inayoweza kutupa kombora ya kinuklia ikiwa imejificha baharini.
Hii hapa chini nayo ni Ohio class submarine na pia linabeba kombora la kinuklia.
View attachment 1726641
Kuharibu zaidi, wana bomber aircraft inayobeba bomu ya kinuklia. Marekani ukimshinda vita anaanza kuwachilia mabomu ya kinuklia. Hili ndege la kishetani hapa chini linawachilia mabomu ya kinuklia na kumaliza kabisa mechi bila mapingamizi. Linaitwa B-52 Stratofortress bomber
View attachment 1726646
Na hili nalo ni shetani lingine linabeba kombora la kinuklia linaitwa B-2 spirit
View attachment 1726653
Kuharibu zaidi wana ballistic missile ya kinuklia wanayoweza kulenga sehemu popote duniani na kulifuta from the map.
View attachment 1726677
View attachment 1726660View attachment 1726661
Hizi ballistic nuclear missiles ndio US hawataki North Korea wazipate. Maana wanaweza kupiga US nazo hata wakiwa huko North Korea kwa kubonyeza kidude tu.
Cc Sama boy 255
Unasema?!!
In this corona time all other exports have declined! only gold prices have shot up!Yaani mnaexport gold worth $3 billion. Wow. That is impressive.
Hela ndefu sana iyo Heshima kwa Anaewanyima usingizi JpmYaani mnaexport gold worth $3 billion. Wow. That is impressive.
Hapana. The US navy ndio the most powerful in the world. They have the most ships! Russia has more nuclear weapons in their inventory than the US. But their difference isn’t too significant.Saudi Arabia wanashika namba tatu duniani kwa bajeti kubwa ya ulinzi, lakini haipo katika top 10 ya nchi zenye nguvu za kijeshi, inazidiwa na Iran na Turkey, bajeti kubwa sio kigezo.
Kati ya nchi tatu 1)USA, 2)Russia 3)China, kila moja inaongoze katika eneo moja la nguvu za kijeshi.
1) USA inaongoza kwa kuwa na nguvu angani(the most powerful Air force)
2)Russian inaongoza kuwa na jeshi lenye nguvu zaidi ardhini
3)China inaongoza kwa jeshi la baharini, sasa hivi China inaongoza kwa kuwa na the best military drones.
Kwa ufupi, kati ya hizi nchi tatu zikiiingia vitani, hakuna nchi itakayoshinda vita bila usaidizi wa nchi zingina.
whaaaaaat
?