Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kerosene ya kenya inazidi petrol ya Tanzania
1A562A37-097F-41B7-8480-30B15882FE9E.jpeg
 
Haya mafala nilijua tu lazima yafungwe ndo mana wala ckujisumbua kufatilia mechi, Wakenya wala msishangilie kuyafunga hayo masenge, sisi mpira hatujui ila tuna ligi bora cz pesa ya ku invest kwenye soka tunayo, tunaweza kununua mchezaji yyte hapa East and Central Africa na ndiyo maana ndoto za wachezaji ukanda huu ni kucheza Tanzania ila sisi km sisi mpira hatujui hilo halina ubishi.
Hahaha.
 
Kuna vita inaendelea pale twitter Kati ya wakenya na watanzania lakini naskia nyie huko bongo TISS imewazimia mtandao wa twitter. Sasa eti mnatumia VPN.

Don't ever mess with Kenyans on twitter





Acha uongo wewe Watu twitter tunatumia fresh pasipo vpn
 
Back
Top Bottom