Post ya mtu 🤣🤣🤣👇👇👇👇Hoja kwishaa
Ukikubali nikuletee taarifa na utazikubali ni tag
Kwa mtizamo wako lkn,. .. kwa hali hiime naeza kusema USA sio taifa powerful in this world, wanatuaminisha tu na GDP uchwara na misaada ambayo kinyume chake ni dhuluma, China ndio taifa tajir duniani kwa sasa ,anae bisha awete facts. Chinese infrastructures is furistic,no any us city can be compered to China cities ..
. .. kwa hali hii ☝️ me naeza kusema USA sio taifa powerful in this world, wanatuaminisha tu na GDP uchwara na misaada ambayo kinyume chake ni dhuluma, China ndio taifa tajir duniani kwa sasa ,anae bisha awete facts. Chinese infrastructures is furistic,no any us city can be compered to China cities ..
Saa zingine wazungu wako na takwimu nyingi lakini groundly hamna kitu,unajua kwann nasema hivyo bro ,ni mda sasa najaribu kufuatilia maendeleo ya nchi kubwa duniani kupitia YouTube lakini kila nnavyotaka kujiridhisha kwamba us ndio baba wa dunia bado napata doubt nyingi sana coz it's seems like vitu kwa ground ni different sana,Mana duh aise sijui hii inakaaje.ukiangalia miji ya china imendelea sana kiasi ambacho baadhi ya miji mikubwa US inaonekana kama ipo third world country. Silaha za kivita ndio kama iyo vid inavyoonekana hapoUS ina the most powerful military in the world. China haitawahi kuifikia kwenye military, pengine tu kwenye uchumi. Budget ya US military ni sawia na budget ya nchi nane zinazoifuata. US wana more than 7,000 nuclear warheads wakati China wana chini ya 500.
Unauhakika gani na je kama kinatumia zaidi ya hapo 😀😀 na kila mkoa viwanda vinajengwa unategemea nnUsishangae kugundua kuwa kiwanda hicho kinatumia megawati 5 tu au hata kidogo zaidi ya hiyo.
Na russia ana 11000 nucleur warheads utasemaje hapo 🤣🤣🤣🤣US ina the most powerful military in the world. China haitawahi kuifikia kwenye military, pengine tu kwenye uchumi. Budget ya US military ni sawia na budget ya nchi nane zinazoifuata. US wana more than 7,000 nuclear warheads wakati China wana chini ya 500.
Ndio ana kabahari nusu na mwalo wa lamu maana mombasa inaenda Beijing.So kenya ana ka indian ocean nusu???![]()
Ulitaka kitumie ngapi?Usishangae kugundua kuwa kiwanda hicho kinatumia megawati 5 tu au hata kidogo zaidi ya hiyo.