Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
vs nguzo za double stack sasa
Hapo vipi...
Yani unaahidiwa double stack alafu unawekewa nguzo dwarf...jamani jamani, mturuki Mungu anakuonaView attachment 1671051
Hapo ndipo yatapitia yale mabehewa 52 ya double stack mlioagiza sio, shikamoo mturuki
Vitu km hivi mtaviskia ma redioni tuView attachment 1675654
35 tons per axle huyu milliardAyo nae anatia aibu! 35tons per axle na wagons zina axle nne maana yake 35*4 behewa litabebe 140 tons!
Google what is GePG in Tanzania, then utapata majibu ya bandiko lako hiloHizo ni executive orders anazotia saini ambazo ni tofauti na file. Unajua siku hizi mambo mengi tunayafanya kwenye tarakilishi. Badala ya mafaili tunadeal na softwares. File bado zinatumika lakini sio sana kama zamani. Hata wewe ofisini najua unatumia tarakilishi sasa itakuwaje huyu mzee wenu haitumii?
Huku Kenya many govt services zimepelekwa online. Kwa mfano ukitaka ku-apply for passport una-apply online, malipo unafanya through Mpesa au credit cards e.t.c. Hata taxes siku hizi unalipia tu through Mpesa hata saa nne usiku sio kama zamani ambapo tulikuwa tunakwenda kulipa taxes kwenye benki na kupanga foleni kwa muda mrefu. Yaani teknolojia inarahisisha mambo. Mambo ya kupanga foleni kwenye benki imekuwa nadra. Kuna online banking pia. Lakini TZ najua hamuwezi kukosa kupanga foleni maana services za kiserikali hazipo online na pia pengine services za online banking za benki zenu sio nzuri.
Wana-bore, waziri kaeleza hapa tena kwa kiswahili anaiita axle mhimili (new swahili vocabulary for me)!Waelewe tu. Sio kila mtu ni engineer katika hii dunia.
System yenu bado ipo nyuma sana.Google what is GePG in Tanzania, then utapata majibu ya bandiko lako hilo






Kila terminal ikifunguliwa inaonekana ya kipekeeMorogoro SGR terminalwanakila sababu yakumchukia magufuli
View attachment 1725179View attachment 1725180View attachment 1725181View attachment 1725182View attachment 1725184View attachment 1725185View attachment 1725186View attachment 1725187View attachment 1725188




Lile jengo la office pale Dar Terminal ujenzi unaanza lini? maana ujenzi wa TRC Headquarters Dodoma umeanza!Kila terminal ikifunguliwa inaonekana ya kipekee![]()
Sijajua bado mkuu.Lile jengo la office pale Dar Terminal ujenzi unaanza lini? maana ujenzi wa TRC Headquarters Dodoma umeanza!
Tatizo nini ? Umeshaona functinalities za hiyo system . Una user credential yoyote kwenye hiyo system ? Au unaangalia kama responsive or not halafu ndio unafanya conclusion?System yenu bado ipo nyuma sana.
View attachment 1725248
Umeona website ya e-citizen ya Kenya ilivyo sophisticated?
Amenishangaza.Tatizo nini ? Umeshaona functinalities za hiyo system . Una user credential yoyote kwenye hiyo system ? Au unaangalia kama responsive or not halafu ndio unafanya conclusion?