komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Swali rahisi tu we unataka tuzungushane..
Mliagiza wapi, na kw bei gani tosha..
We unazunguka zunguka tu..
Swali rahisi tu we unataka tuzungushane..
Double stacking wataona tu kwa TV 🤣🤣😂Nguzo za double stacks hzo
Mturuki kumbe mi mtu mbaya sana jamaniView attachment 1671041View attachment 1671043
Mm mwenyewe nashangaa ameng'ang'ania kweli kusema wamepost shule, shule gn wamepost humu zaidi ya zile tatu zote zipo Nairobi na ni za kanisaLeague ilikua za shule za msingi au shule kwa ujumlakwanza shule zipi mlizopost? Hata sijaona!







vs nguzo za double stack sasaTunasubiri undava wa mchina kwenye terminals
View attachment 1671018View attachment 1671019View attachment 1671020View attachment 1671021View attachment 1671022



Seriously Luriga hiyo residential ni kama zile za village towns tu., not for a serious city! huwezi hata linganisha na za Eldy! hapa hakuna utani, iko down bro.,😂😂😂Tatizo mmezoea kuona uniform za nyumba ndio maana unashangaa! 😀 😀 😀
Kuna jamaa bado anajipa matumaini na double stackDouble stacking wataona tu kwa TV![]()


Anahaha wapi wakati bado miezi sita kwa muda aliopewa na wewe, pia isitoshe wakamuongezea moro - domMumetandikwa wajumbe, kubalini tu jamani wala hamtokufa...
Mturuki sijui mwaka wa ngapi huu ana haha tu
🎃🎃🎃🎃🎃🎃🎃vs nguzo za double stack sasa
Hapo vipi...
Yani unaahidiwa double stack alafu unawekewa nguzo dwarf...jamani jamani, mturuki Mungu anakuonaView attachment 1671051
Anavyoongea utadhani kwao kuna japo metre 1 ya cableLete ushahidi hapa wa tunnels za double stack..
Cable tayari keshachemsha, we wajua cables za double stack zinakaje kwanza au ni kelele unatupigia tu hapa..
Huyo mkorea anawauzia treni zipi hzo za double stack









Double stacking wataona tu kwa TV 🤣🤣😂Nguzo za double stacks hzo
Mturuki kumbe mi mtu mbaya sana jamaniView attachment 1671041View attachment 1671043
Jibu swali basi? 🙂Matusi ya nn mzee baba, tuliza mshono bana..
Hapa ni hoja kwenda mbele
2019 november mpka 2021 ndio miezi sita sioAnahaha wapi wakati bado miezi sita kwa muda aliopewa na wewe, pia isitoshe wakamuongezea moro - dom




Najua 😂 😂 atajaribu kutafuta vijisababu kama kawaida, ukweli na mtanzania ni kama maji na mafuta, haichanganyi!😂😂Hii hawaipendi kabisa
Umeanza kuelewa sasa, usijali ngoma haihitaji hasira hii...
Dwarf kwa mujibu wa akili yako finyu?
Huoni amekimbia mzee baba, nakumbuka siku ilipiwekwa hyo video walikimbiana km wiki mbili ndio wakaanza kuitaja taja mwanza tena..Najua![]()
atajaribu kutafuta vijisababu kama kawaida, ukweli na mtanzania ni kama maji na mafuta, haichanganyi!
![]()
Hizi za single sided poles sio double stack? SwaliUmeanza kuelewa sasa, usijali ngoma haihitaji hasira hii...
Yupo njema sana ila slow kichizi, na hii lot 5 mpunga wake ulikua juu mnoIla wakuu mturuki japo yuko slow lkn kazi zako zinapendeza sn machoni au mnasemaje wakuu![]()
Wewe unatambaa na arguments kama kondoo siwezi bishana na wewe, wapi umesikia tukilalamika kachelewesha2019 november mpka 2021 ndio miezi sita sio
Shikamoo mturuki, wape hi wanenguaji mwakani
Tuliagiza kaliadudu kwa buku 5 🎃🎃🎃Swali rahisi tu we unataka tuzungushane..
Mliagiza wapi, na kw bei gani tosha..
We unazunguka zunguka tu..