Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndiyo maana race zingine hutudharau na kutufananisha na wanyama! Unajua tumeanza lini kuchemsha hiyo miili yetu? Ukiisha kuwa brainwashed watu wanaojitambua wanakuona pimbi tu.
huyo jamaa ni miongozi mwa kielelezo cha upuuzi wa wakenya.

kuna yule mwingine anajiita teargase,aliyesema ana hela sana.
 
Burden of proof lies with you, wewe ndo ulisema hiyo project haina maana, sasa with evidence back up your claim. Na kama unamaswali zaidi consult google hapa hatufanyi spoon feeding.
nimekuuliza swali jibu kwanza,,,,

hiyo sehemu haina umuhimu ni bora mngetsthmini sehemu ambayo inskadirika mfano kuzidi kwa foleni miaka kumi ijayo ,kuliko kujenga vitu vichakani for nothing,,,hiyo pesa bora mngeipeleka kwenye sekta ya afya tu ili wagonjea wapate huduma bora
 
TBC new studio

EwXqhIhWUAM9Tfy


EwXqXR-XAAIuuRg

 
Raila hakusema hakuna corona au watu wa maji maji wajipake majic Millet water ndo iwajuie corona yeye alikubali na akiwa mgonjwa anasema lakini kinjakitile

Those are ring roads they surround the city and avoid traffic entering the city if someone has no business to do in town and also the heavy trucks are not allowed to pass through town and also the area around those roads grows very fast
hapo hakuna mlicho avoid mzee ojwani ,,mnaavoid traffic jam vichakani kwa jiji gani la maana mlilonalo hapo ,,,ukweli ni kwamba mmetumia pesa hovyo ni bora mngepeleka huzo pesa kwenye dumuma za afya
 
hapo hakuna mlicho avoid mzee ojwani ,,mnaavoid traffic jam vichakani kwa jiji gani la maana mlilonalo hapo ,,,ukweli ni kwamba mmetumia pesa hovyo ni bora mngepeleka huzo pesa kwenye dumuma za afya
Tatizo huwezi skia mkenya kapandishwa ndege ya AMREF kuletwa dar
 
Mbona mzee bado anatumia mafaili katika 21st century? Mbona hatumii tarakilishi? Amekwama katika mitindo za kizamani sana.
Screenshot_20210314-060046.jpg
 
This interchanges when complete will make Dar es Salaam look like a village to Mombasa.
Under construction day and night are the three, three level interchanges in Mombasa
Remember, Dar es Salaam has only one cross-like interchange with three levels.
View attachment 1725099

View attachment 1725101
Mind u several flyovers r U/C as u speak, 3 in BRT phase 2, 1 at Mloganzila on Kimara Kibaha superhighway, 1 at Mbezi Luis Bus Terminal n another 1 will connect Tanzanite bridge! More to come in BRT phase III!
 
Back
Top Bottom