Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi sijui kama Wakenya wanaelewa hawa jamaa wanaingia mazima!!Kutoka kwny kubaguliwa mpk heaven sent, unaweza kujiuliza stability ya Tanzania, resources,upendo bila kujali wewe ni nani,utayari tulionanao kwenye kila sector graduates kama wote,policies reform na kuna mpango wa kuwapa diaspora special status uwingi wao na mitaji waliyonayo poleni sana Wakenya,kiburi chenu kinagharama mbele ya safari, Watanzania duniani kote tujitathimini nakuona ni kwa namna gani tutafaidika kupitia hizi fursa zinazomiminika kwa kasi sana. Tukianzia kwa sisi wenye dhamana.
 
😎😎😎😎

giphy.gif
 
Yaani ajitokeze kwavile Wakunya wamemzushia? JPM yupo busy na mradi wa EACOP sasa! BTW Hivi mnajua jinsi anavyowadharau?
FID bado mkuu. nilsikia itakuwa March ila naona march ndio inaisha. hii project muhim sana kwetu.$ 13 per barrel kupata Tz ni nyingi. kwa siku production sio chini ya pipa 200k
 
umekazana na Hoja ya CEO ambayo umejiletea mwenyewe na kujijibu mweyewe

umeishiwa sera ,,,,,

vipi una lingine jipya...?
Tangia huu mjadala uanze sijaona umeoinge hoja zangu kw facts, umebaki na maneno ya leso tu

Labda ungelikuja na hoja unionyeshe ni vipi wasanii wakubwa na lebels kubwa zinavyopiga hela nyingi na ni kwann iwe hvo..
Kina vigogo bongo sanaa ya mziki imewatajirisha lkn hawajawai imba hata verse moja
 
aliyeshtuka na CEO ni nani.....?...
hebu leta ushahidi unaoonyesha mtu aliyeshtuka na neno la CEO unajiongelesha mwenyewe unajijibu mwenyewe

hauujui mziki wewe bado mshamba,,..jijenge kwanza kimaisha ndiyo ukae mezani na welevu wa hiyo industry na mtu kama mimi
We unajua nini mzee baba, naona unajitekenya na kucheka mwnywe sasa
Km unashindwa kujua km mziki unawalipaje wasanii utakuja jua haya tunayoyaongelea
 
Issue ya mahindi imeishaje nyan'gau?
Hizi taarifa kwamba mmeanza kulala bila kula zinashtua?Kwan hamna milo mingine mbali na ugali,githeri Bila kusahau mkombozi Uji

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hoja kwishaa, kwanza sheria ya vibali lazima wale wa pale namanga warudi wakatafute vibali..
Mtakoma mara hii, unafuata kanuni km huwezi rudi
 
Sikuwai jua VP wa tanzania ni mwanamke kama magufuli yupo salama mbona wanataka kumpa yeye madaraka? The incoming Tanzania President. Her excellency Samia Suluhu. We are about to have the first woman president in EA. Mark my words
 
mlivyo wambea na kupenda sifa.. Uharo angetoa Press Jana tulimpokea Rais Magufuli na sasa yupo Nairobi Hospital anaendelea na matibabu vizur, au hata msemaji wa hospitali angekenua meno kusema ni kweli Magu yupo
20210313_005501.jpg

This is Tanzania Vice President Samia Suluhu. Whatever you do with this information is none of my business.
 
Sikuwai jua VP wa tanzania ni mwanamke kama magufuli yupo salama mbona wanataka kumpa yeye madaraka? The incoming Tanzania President. Her excellency Samia Suluhu. We are about to have the first woman president in EA. Mark my words
Wakenya bhn kwa sifa za kisenge eti "sikuwai jua VP wa Tanzania ni mwanamke" kanasema hivyo ili kaonekane hakafuatilii Tz kumbe kanakesha kutwa kucha kufuatilia Tz, hivi vijamaa vina umama mwingi sn
 
Sikuwai jua VP wa tanzania ni mwanamke kama magufuli yupo salama mbona wanataka kumpa yeye madaraka? The incoming Tanzania President. Her excellency Samia Suluhu. We are about to have the first woman president in EA. Mark my words

View attachment 1724026
This is Tanzania Vice President Samia Suluhu. Whatever you do with this information is none of my business.

Wakenya bhn kwa sifa za kisenge eti "sikuwai jua VP wa Tanzania ni mwanamke" kanasema hivyo ili kaonekane hakafuatilii Tz kumbe kanakesha kutwa kucha kufuatilia Tz, hivi vijamaa vina umama mwingi sn

usisumbuke nae.. kwanza hayo maneno yote kacopy paste kutoka twitter .. hakuna hata moja katoa kichwan kwake
 
Hivi sijui kama Wakenya wanaelewa hawa jamaa wanaingia mazima!!Kutoka kwny kubaguliwa mpk heaven sent, unaweza kujiuliza stability ya Tanzania, resources,upendo bila kujali wewe ni nani,utayari tulionanao kwenye kila sector graduates kama wote,policies reform na kuna mpango wa kuwapa diaspora special status uwingi wao na mitaji waliyonayo poleni sana Wakenya,kiburi chenu kinagharama mbele ya safari, Watanzania duniani kote tujitathimini nakuona ni kwa namna gani tutafaidika kupitia hizi fursa zinazomiminika kwa kasi sana. Tukianzia kwa sisi wenye dhamana.

Mkuu kuna fununu zozote kuhusu hao diaspora/repatriates kupewa special status in terms of kumiliki ardhi za kujenga makazi yao na ease of doing business au investing hpa TZ? maana wamekuwa wakilalamika sana kuhusu hilo na ndicho pekee kinachowafanya wengi wasizidi kumiminika hapa nchini.
 
Back
Top Bottom