Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unataka kunifundisha kuhusu music na managment zinavyosongeshwa.......

wakenya mnamatatizo sana
Hujui kitu mzee baba
Mziki unahitaji mtandao mpana ndiposa mtu afanikiwe na afike level ya juu kabisa..

Yani nyie mnashtuka na jina CEOkweli zuka ni zuka tu
 
Isije ikawa nabishana na mlala hoi nikajisumbua ,mana maskini huwa mko na ideology zenu kwahyo ngoja nikuache kwanza uendelee kujifariji na upumbavu wako
Tatizo we ni maskini wa fikraheri mie tena kuliko wewe..
Akili zako zikisikia neno CEO basi unakuta ni kitu kikubwa kweli
 
Habari zenu wakuu
Screenshot_20210312-152851.jpg
 
Alaf Angalia sitajibizana tena na wewe Mana ni kujichoresha tu .kubishana na vilaza ni kujishushia heshima.. endelea kujua unavyotaka wewe. Me nimemaliza
Ujuaji umekuponza jomba, tena shukuru hapa hatujuani lkn kwngine utachekwa na uonekane zero kabisa..
 
Ghana ni uchumi serious sana. Imekuwa na economic growth rate of 7% kila mwaka since 2017 kwa sababu ya huyu rais mchapa kazi. Ifahamike kuwa Ghana ina Gdp kubwa kushinda Tanzania ilhali wana watu 30 million (half the population of Tanzania.) Gni per capita ya Ghana ni double ya Tanzania. Hio ina maana kwamba Mghana mmoja anapata kipato kwa mwaka mara dufu ya Mbongo mmoja.
Don't be fooled with those data bro, Kwa Ground Ghana is a third world country just like Kenya.
 
Issue ya mahindi imeishaje nyan'gau?
Hizi taarifa kwamba mmeanza kulala bila kula zinashtua?Kwan hamna milo mingine mbali na ugali,githeri Bila kusahau mkombozi Uji

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wavitoe wapi wakat arable land zote mzungu na politicians wanapanda maua wakauze ulaya 🤣🤣🤣🤣
 
Hujui kitu mzee baba
Mziki unahitaji mtandao mpana ndiposa mtu afanikiwe na afike level ya juu kabisa..

Yani nyie mnashtuka na jina CEOkweli zuka ni zuka tu
aliyeshtuka na CEO ni nani.....?...
hebu leta ushahidi unaoonyesha mtu aliyeshtuka na neno la CEO unajiongelesha mwenyewe unajijibu mwenyewe

hauujui mziki wewe bado mshamba,,..jijenge kwanza kimaisha ndiyo ukae mezani na welevu wa hiyo industry na mtu kama mimi
 
Tatizo we ni maskini wa fikraheri mie tena kuliko wewe..
Akili zako zikisikia neno CEO basi unakuta ni kitu kikubwa kweli
umekazana na Hoja ya CEO ambayo umejiletea mwenyewe na kujijibu mweyewe

umeishiwa sera ,,,,,

vipi una lingine jipya...?
 
Back
Top Bottom