Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

95FA3C55-671A-4B98-967B-BFA28F84ED45.jpeg
 
Haahhahaa.
Yaani kumbe Uganda pia walikuwa wanalia kuhusu maize ban. Wamelia sana. Tulikuwa tunataka kuwakumbusha majirani zetu nani ndio superpower wa ukanda huu. Mumepiga nduru mpaka tukawaonea huruma.
Endeleeni kujionesha kuwa Superpower EA kwa ku-frustrate biashara na majirani. Unaleta vurugu kwenye biashara ya mahindi na jirani zako ili ukanunue Mexico! Utawauzia nini hao mateja? Parachichi wanazo kama zote. Mahindi ndiyo hayo wanakuuzia.

Wenzenu tunafanya real deals kwenye basic sectors. I mean real deals, siyo hypothetical kama ile yenu ya CoW ya 2013.

If that is what you are doing to show how supreme you are, then I feel sorry for you. I can see you loosing South Sudan too. Failed state failing again.
 
Ts
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Tatizo Kenya mnarusha ngumi bila mpango na mwishoni inakupiga mwenyewe uliyerusha
 
Endeleeni kujionesha kuwa Superpower EA kwa ku-frustrate biashara na majirani. Unaleta vurugu kwenye biashara ya mahindi na jirani zako ili ukanunue Mexico! Utawauzia nini hao mateja? Parachichi wanazo kama zote. Mahindi ndiyo hayo wanakuuzia.

Wenzenu tunafanya real deals kwenye basic sectors. I mean real deals, siyo hypothetical kama ile yenu ya CoW ya 2013.

If that is what you are doing to show how supreme you are, then I feel sorry for you. I can see you loosing South Sudan too. Failed state failing again.
Ungefikiria hivi mlipochoma vifaranga nchi yenu ingekuwa mbali.
 
Back
Top Bottom