Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sikuwai jua VP wa tanzania ni mwanamke kama magufuli yupo salama mbona wanataka kumpa yeye madaraka? The incoming Tanzania President. Her excellency Samia Suluhu. We are about to have the first woman president in EA. Mark my words
Hata kama kweli anaumwa au haumwi we unapata faida au hasara gani? Mbona si tumejua raila odinga anaumwa haijawa habari kwetu. Hapo mnaonesha chuki sana
 
Mkuu kuna fununu zozote kuhusu hao diaspora/repatriates kupewa special status in terms of kumiliki ardhi za kujenga makazi yao na ease of doing business au investing hpa TZ? maana wamekuwa wakilalamika sana kuhusu hilo na ndicho pekee kinachowafanya wengi wasizidi kumiminika hapa nchini.
Bado ni fununu tu mkuu time will tell maana hii jamii inajingeka kwa kasi sana!!! advantage ni nyingi kupitia wao Ikiwemo za kiuchumi na kisiasa hawa jamaa ni whistle blowers wazuri sana,watatusaidia kuwasuta wazungu, wazungu hawapendi hii inshu maana ukiwatikisa hawa unatikisa na kule usishangae tatizo linatokea Tanzania kelele zikawa US,Sema bado tunahitaji umakini mkubwa maana Tanzania ni ndogo sana ukilinganisha na state zote marekani,na pia bado kuna fursa nyingi mbichi tusipoangalia baada ya muda mchache jamaa watatembea na kila nafasi lazima tutengeneze mazingira mazuri kwa watu wetu at least kuwe na win win situation jamaa wanastuana kila kukicha baada ya kung'amua serikali yao ilikuwa ikiwadanganya juu ya Afrika.Wapo wanaoelewa na kuwaelewesha wenzao kwa nini Tanzania hatutoi uraia fasta fasta kama nchi nyingine unaweza angalia hii video kuanzia dakika ya 22:25 this brother explain;
 
Sikuwai jua VP wa tanzania ni mwanamke kama magufuli yupo salama mbona wanataka kumpa yeye madaraka? The incoming Tanzania President. Her excellency Samia Suluhu. We are about to have the first woman president in EA. Mark my words
kwani ni lazima kila kitu awepo president...?
 
Muonekano wa Mgahawa ndani ya kituo cha SGR kilichopo Morogoro kwa kipande cha kutoka Dar kwenda Morogoro
IMG_1648.jpg
 
Bado ni fununu tu mkuu time will tell maana hii jamii inajingeka kwa kasi sana!!! advantage ni nyingi kupitia wao Ikiwemo za kiuchumi na kisiasa hawa jamaa ni whistle blowers wazuri sana,watatusaidia kuwasuta wazungu, wazungu hawapendi hii inshu maana ukiwatikisa hawa unatikisa na kule usishangae tatizo linatokea Tanzania kelele zikawa US,Sema bado tunahitaji umakini mkubwa maana Tanzania ni ndogo sana ukilinganisha na state zote marekani,na pia bado kuna fursa nyingi mbichi tusipoangalia baada ya muda mchache jamaa watatembea na kila nafasi lazima tutengeneze mazingira mazuri kwa watu wetu at least kuwe na win win situation jamaa wanastuana kila kukicha baada ya kung'amua serikali yao ilikuwa ikiwadanganya juu ya Afrika.Wapo wanaoelewa na kuwaelewesha wenzao kwa nini Tanzania hatutoi uraia fasta fasta kama nchi nyingine unaweza angalia hii video kuanzia dakika ya 22:25 this brother explain;

We jamaa unafikiri uraia ni pipi unatoa tu kirahisi hivyo. Hao jamaa wengi wao wanaokuja huku wana hela ya kawaida tu sio potential investors ambao wanaweza kujenga viwanda na kuajiri watu. Wengi ni youtubers tu ambao wanakimbia maisha magumu ya marekani na ubaguzi lakini sio kusema wana kitu kikubwa wanaweza kuongeza kwenye uchumi.
Uraia ili upewe lazima ukidhi vigezo ikiwa pamoja na kujua na kuingiliana na wananchi sasa hawa wamekuja juzi leo unasema tuwape uraia haraka haraka, alafu pia kumbuka Tanzania hakuna uraia wa nchi mbili.
Sheria ya uwekezaji ni nzuri sana kama wanakuja kuwekeza waungane wawe na dola laki tano wapewe eneo la uwekezaji na visa zinaongezwa tu muda kirahisi. Hii sheria pamoja na ya uraia zilitungwa kulinda ardhi kubaki kwa wazawa. Kenya, ghana na nigeria hawana ardhi kubwa ambayo mgeni anaweza kuhodhi hivyo wao na sisi ni tofauti sana.
Mbona husemi wakenya wapewe uraia kirahisi hivyo na ndio wamewekeza mtaji mkubwa au kwakuwa ni wamarekani?
 
We jamaa unafikiri uraia ni pipi unatoa tu kirahisi hivyo. Hao jamaa wengi wao wanaokuja huku wana hela ya kawaida tu sio potential investors ambao wanaweza kujenga viwanda na kuajiri watu. Wengi ni youtubers tu ambao wanakimbia maisha magumu ya marekani na ubaguzi lakini sio kusema wana kitu kikubwa wanaweza kuongeza kwenye uchumi.
Uraia ili upewe lazima ukidhi vigezo ikiwa pamoja na kujua na kuingiliana na wananchi sasa hawa wamekuja juzi leo unasema tuwape uraia haraka haraka, alafu pia kumbuka Tanzania hakuna uraia wa nchi mbili.
Sheria ya uwekezaji ni nzuri sana kama wanakuja kuwekeza waungane wawe na dola laki tano wapewe eneo la uwekezaji na visa zinaongezwa tu muda kirahisi. Hii sheria pamoja na ya uraia zilitungwa kulinda ardhi kubaki kwa wazawa. Kenya, ghana na nigeria hawana ardhi kubwa ambayo mgeni anaweza kuhodhi hivyo wao na sisi ni tofauti sana.
Mbona husemi wakenya wapewe uraia kirahisi hivyo na ndio wamewekeza mtaji mkubwa au kwakuwa ni wamarekani?
Wakenya wamewekeza mtaji mkubwa kulinganisha na Raia wa wapi, tupe hizo figure ya kwamba wao ndiyo investors wakubwa hapa nchini.
 
Bado ni fununu tu mkuu time will tell maana hii jamii inajingeka kwa kasi sana!!! advantage ni nyingi kupitia wao Ikiwemo za kiuchumi na kisiasa hawa jamaa ni whistle blowers wazuri sana,watatusaidia kuwasuta wazungu, wazungu hawapendi hii inshu maana ukiwatikisa hawa unatikisa na kule usishangae tatizo linatokea Tanzania kelele zikawa US,Sema bado tunahitaji umakini mkubwa maana Tanzania ni ndogo sana ukilinganisha na state zote marekani,na pia bado kuna fursa nyingi mbichi tusipoangalia baada ya muda mchache jamaa watatembea na kila nafasi lazima tutengeneze mazingira mazuri kwa watu wetu at least kuwe na win win situation jamaa wanastuana kila kukicha baada ya kung'amua serikali yao ilikuwa ikiwadanganya juu ya Afrika.Wapo wanaoelewa na kuwaelewesha wenzao kwa nini Tanzania hatutoi uraia fasta fasta kama nchi nyingine unaweza angalia hii video kuanzia dakika ya 22:25 this brother explain;

Duh! Huyu jamaa kadhamiria
 
Back
Top Bottom