Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa unafikiri uraia ni pipi unatoa tu kirahisi hivyo. Hao jamaa wengi wao wanaokuja huku wana hela ya kawaida tu sio potential investors ambao wanaweza kujenga viwanda na kuajiri watu. Wengi ni youtubers tu ambao wanakimbia maisha magumu ya marekani na ubaguzi lakini sio kusema wana kitu kikubwa wanaweza kuongeza kwenye uchumi.
Uraia ili upewe lazima ukidhi vigezo ikiwa pamoja na kujua na kuingiliana na wananchi sasa hawa wamekuja juzi leo unasema tuwape uraia haraka haraka, alafu pia kumbuka Tanzania hakuna uraia wa nchi mbili.
Sheria ya uwekezaji ni nzuri sana kama wanakuja kuwekeza waungane wawe na dola laki tano wapewe eneo la uwekezaji na visa zinaongezwa tu muda kirahisi. Hii sheria pamoja na ya uraia zilitungwa kulinda ardhi kubaki kwa wazawa. Kenya, ghana na nigeria hawana ardhi kubwa ambayo mgeni anaweza kuhodhi hivyo wao na sisi ni tofauti sana.
Mbona husemi wakenya wapewe uraia kirahisi hivyo na ndio wamewekeza mtaji mkubwa au kwakuwa ni wamarekani?
mimi ni muumini wa sera za nchi yangu dhidi ya wageni mimi naona hazina tatizo lolote maana kwa serious investors ni rahisi kuwekeza tz
 
kwani akienda missing kipi kinachokusumbua....?
Anakiuka sera na tamaduni zake mwnywe za kila siku za kujifanya bila yeye nchi haisongi..
Manake sio kw kujitika kila kitu hapo tz hakimu ni yeye, polisi ni yeye, mkandarasi ni yeye yani mpka akili za watu kazishika yeye
 
We jamaa unafikiri uraia ni pipi unatoa tu kirahisi hivyo. Hao jamaa wengi wao wanaokuja huku wana hela ya kawaida tu sio potential investors ambao wanaweza kujenga viwanda na kuajiri watu. Wengi ni youtubers tu ambao wanakimbia maisha magumu ya marekani na ubaguzi lakini sio kusema wana kitu kikubwa wanaweza kuongeza kwenye uchumi.
Uraia ili upewe lazima ukidhi vigezo ikiwa pamoja na kujua na kuingiliana na wananchi sasa hawa wamekuja juzi leo unasema tuwape uraia haraka haraka, alafu pia kumbuka Tanzania hakuna uraia wa nchi mbili.
Sheria ya uwekezaji ni nzuri sana kama wanakuja kuwekeza waungane wawe na dola laki tano wapewe eneo la uwekezaji na visa zinaongezwa tu muda kirahisi. Hii sheria pamoja na ya uraia zilitungwa kulinda ardhi kubaki kwa wazawa. Kenya, ghana na nigeria hawana ardhi kubwa ambayo mgeni anaweza kuhodhi hivyo wao na sisi ni tofauti sana.
Mbona husemi wakenya wapewe uraia kirahisi hivyo na ndio wamewekeza mtaji mkubwa au kwakuwa ni wamarekani?
Kaka pitia vizuri mabango yangu yote hakuna mahali niliposema hawa jamaa wapewe uraia kwa urahisi rahisi zaidi ya kuzungumzia special status tu na sidhani kama ni lazima upewe uraia unapopewa special status nasema hiv kwa sababu sina uelewa mpana wa maswala ya kidiplomasia,ila kiufupi wanakuja wapo makanjanja ila pia wameanza kuibuka wakubwa don't underestimate bado kuna weusi wenye mitaji mikubwa ndani ya US na pia idadi yao si ndogo hasa ukilinganisha na uchumi wa nchi zetu za kiafrika.
 
DSM IS FIRE
FB_IMG_1615625532164.jpg
 
Waaooo

Good infrastructure, and it's very impressive ila kuna wizara bado ni ya kisenge sn na kwakweli inanikera sana mm cz inaharibu muonekano wa mji licha ya kuwa na infrastructures nzuri pamoja attractive buildings, hii ni wizara ya ardhi ikiongozwa na the dumbest Minister.

Mipango miji wamefeli na waziri amekaa tu kmy watu bado wanajenga hovyo hovyo kwenye miji mipya waziri anachofanya hata hakieleweki sijui kwanini Magu hamuoni huyu jamaa, hajawahi kuongelea mipango miji hata cku moja, km kuna siku kaongelea basi ckumsikia na nahisi hakuwa serious.

Hili suala la ujenzi wa kiholela linatugharimu na litaendelea kutugharimu miaka nenda rudi, nchi iko vizuri, no slums, nyumba za kisasa lkn ziko katika mpangilio mbovu unaoleta taswira mby, hili mm sitoacha kulisema na nitaendelea kulisema cz inanikera sana watu tunawalipa mishahara lkn hawawajibiki ipasavyo.
 
Kaka pitia vizuri mabango yangu yote hakuna mahali niliposema hawa jamaa wapewe uraia kwa urahisi rahisi zaidi ya kuzungumzia special status tu na sidhani kama ni lazima upewe uraia unapopewa special status nasema hiv kwa sababu sina uelewa mpana wa maswala ya kidiplomasia,ila kiufupi wanakuja wapo makanjanja ila pia wameanza kuibuka wakubwa don't underestimate bado kuna weusi wenye mitaji mikubwa ndani ya US na pia idadi yao si ndogo hasa ukilinganisha na uchumi wa nchi zetu za kiafrika.
Kaka sidhani kama wanastahili hiyo special status unless kuna kitu chanya wamekiingiza kwenye jamii yetu lakini sio kwa kigezo wao ni weusi. Ni wageni kama wageni wengine wawe treated sawa tu. Kama wahindi, wazungu na wakenya wamewekeza sana hapa na hawana special status zaidi ya kupewa eneo la uwekezaji kwanini hao wapewe uspecial? Kumbuka hatufaidiki chochote na rangi ya ngozi yao.

Kwa anaependa afate taratibu abadili uraia awe mbongo tu atapata privileges za mtanzania kwenye ewekezaji ingawa najua hawawezi kufanya hili.
 
Njoo pm mzee baba sitaki nikuabishe bure, usijali ukija nitakupa somo bure
nifundishe hapa tu,,mbona kuzuri tu teacher mkuu ojwani maana hata wasio juwa kama mimi itakuwa faida kwao...

leta somo teacher maana kufundisha si kuahibisha
 
Anakiuka sera na tamaduni zake mwnywe za kila siku za kujifanya bila yeye nchi haisongi..
Manake sio kw kujitika kila kitu hapo tz hakimu ni yeye, polisi ni yeye, mkandarasi ni yeye yani mpka akili za watu kazishika yeye
kwa hiyo tukusaidie nini....?
 
Anakiuka sera na tamaduni zake mwnywe za kila siku za kujifanya bila yeye nchi haisongi..
Manake sio kw kujitika kila kitu hapo tz hakimu ni yeye, polisi ni yeye, mkandarasi ni yeye yani mpka akili za watu kazishika yeye
wewe mbuzi wacha kujiweka mbele na mambo ya tz.

huyo rais wenu kama ni mlenda mlenda ni juu yake.
mpaka anatukanwa na makamu wake na gavana wa jimbo.
 
Haahhahaa.
Yaani kumbe Uganda pia walikuwa wanalia kuhusu maize ban. Wamelia sana. Tulikuwa tunataka kuwakumbusha majirani zetu nani ndio superpower wa ukanda huu. Mumepiga nduru mpaka tukawaonea huruma.

Tony kwa hwa waganda metonesha kidonda, watawafanyia zaidi ya sisi tulivyozuia ndege zenu
 
Back
Top Bottom