Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hiyo hata sio town, hio ni city maana ilicost zaidi ya $3 billion kuijenga halafu ni kubwa ajabu. Bei yake ni sawia na ya SGR ya Kenya. Itabeba watu 500,000 ikijaa na tayari iko 85% occupied.Nimeiangalia hii video makala nzuri sana
Hawa Wachina ni watu wanajitambua sana. ..
Iyo town waliojenga apo Angola ni kali sana hapa tz wakifanya ivyo dunia nzima itajua
Kwa sababu ya wivu wa media za wazungu akina CNN na BBC, wakati mradi ulipokamilika halafu watu wakachelewa kuihamia, media hizi zikaanza kusema kwamba hii ni ghost city. Sasa Waafrika wameanza kujaza hio city, imebidi media hizo zifunge midomo yao michafu.
Soma hapa propaganda zao, walipokuwa wanadhani hii city haitawahi kujaa.
Check Out The Massive Chinese-Built Ghost Town In The Middle Of Angola
The Chinese-built ghost town of Kilamba in Angola raises questions about urban development and investment strategies.
Huu ndio biggest complete real estate project in Africa. Egypt nao wanajenga city mpya ila haijakamilika. Afrika inaendelea na ni vizuri kutazama maendeleo yanayofanyika katika kanda zingine za Afrika, sio kukwama kwenye battle ya KE vs TZ. Dunia ni kubwa


♂️