Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza Ulole Tazama inlets mbili za Gerd zipo karibu kukamilika. Bado unaamini kwamba Dam hii (angalau turbines mbili) hazitaanza kuzalisha umeme mwaka huu?
rAnWxjT.jpg
 
Ni chuki na roho mbaya 🤣🤣👇👇

Mbona iwe chuki ili hali kununua mahindi tanzania ilikua cheaper sahii bei ya unga itapanda kiasi kenya..... even to us it was a hard decision to make but for the better
 
Mbona iwe chuki ili hali kununua mahindi tanzania ilikua cheaper sahii bei ya unga itapanda kiasi kenya..... even to us it was a hard decision to make but for the better
Hamna kitu njaa ikiwazidi Mta reverse hiyo statement nakusema ilikua wrong results au mahidi yako Sawa sasa🙂🙂ujanja wenu tunaujua🙂
 
Nadedicate wimbo wa Saida Karoli kwa Watanzania wote. Wenye wivu wajinyonge.
 
Hamna kitu njaa ikiwazidi Mta reverse hiyo statement nakusema ilikua wrong results au mahidi yako Sawa sasa🙂🙂ujanja wenu tunaujua🙂
Mahindi tutatoa Mexico hehe more cheaper hata maxima ya Uganda hatutaki
 
I think now if we join as EA, KE/TZ vs any block or nation in Africa on comparison analysis battle, no one will survive the onslought from the East. hili ni jitu(the real beast), Hapa kwa jukwa tunanyoroshana, wengine wanachukulia personal for nothing, wananuna bure but of a truth sote tumepiga hatua kubwa! Am.proud being an East African in such a time kushuhudia mabadiliko!
haha am proud to be tanzanian not east african, but rather african in general.
i might sound pessimistic lakini sitounga mkono kuungana kenya na tanzania nmeishi na nyinyi wakenya nawajua kupitiliza
watanzania wengine wataona ni kheri lakini ni kwasababu hawajaishi na nyinyi tutashindwana mwisho wa siku trust me young man
 
Geza Ulole Tazama inlets mbili za Gerd zipo karibu kukamilika. Bado unaamini kwamba Dam hii (angalau turbines mbili) hazitaanza kuzalisha umeme mwaka huu?
View attachment 1721753
leo umeni-bore aisee ngoja disappointment yangu itulie! yani mnalazimisha ugonjwa kwa mtu kisa mnamchukia! seriously? Nyie si watu JPM kaiba nn kwenu?
 
Back
Top Bottom