Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa port ina better grain-handling technology than Dar port. Geza Ulole

Ev9H3v8XcAAb441.jpeg
Ev9H3wWXcAE_df6.jpeg
Ev9InqFXcAE66V7.jpeg
Ev9Inp1XcAUP3aw.jpeg
 
leo umeni-bore aisee ngoja disappointment yangu itulie! yani mnalazimisha ugonjwa kwa mtu kisa mnamchukia! seriously? Nyie si watu JPM kaiba nn kwenu?
Mimi siamini hayo magazeti unless walete evidence. Chunga usipandwe na pressure bure kwa sababu ya maandishi ya magazeti. Au tweets za Wakenya kwenye mitandao. Ukichukulia haya mambo seriously utapata matatizo ya moyo.
 
Mimi siamini hayo magazeti unless walete evidence. Chunga usipandwe na pressure bure kwa sababu ya maandishi ya magazeti. Au tweets za Wakenya kwenye mitandao. Ukichukulia haya mambo seriously utapata matatizo ya moyo.
mbona una-post wacha ukenge? tena unatoa twitter!
 
MATAGA hoiyeeeee 🀣🀣🀣🀣🀣


Geza Ulole unaona nilichokuambia. Ukichukulia haya mambo seriously utapata matatizo ya moyo. Sasa inasemekana kwamba waziri wenu wa fedha ameletwa Nairobi kwa sababu ya corona na kwamba yuko kwenye coma. Haya mambo usiyachukulie serious unless walete evidence. Otherwise bila evidence usiichukulie kwa uzito wowote.
 
Geza Ulole unaona nilichokuambia. Ukichukulia haya mambo seriously utapata matatizo ya moyo. Sasa inasemekana kwamba waziri wenu wa fedha ameletwa Nairobi kwa sababu ya corona na kwamba yuko kwenye coma. Haya mambo usiyachukulie serious unless walete evidence. Otherwise bila evidence usiichukulie kwa uzito wowote.
 
huyo uongee nae kiboya
Bwahaha!!km hostel sio za UDSM unasema tu wala sio kuleta mihemko ya kike hapa..
Unafikiria m nina hisia za kifala km wewe, we km umeshindwa na hoja tua tu..

Mabibo ni za provate sector au za UDSM si unasema tu
 
Geza Ulole unaona nilichokuambia. Ukichukulia haya mambo seriously utapata matatizo ya moyo. Sasa inasemekana kwamba waziri wenu wa fedha ameletwa Nairobi kwa sababu ya corona na kwamba yuko kwenye coma. Haya mambo usiyachukulie serious unless walete evidence. Otherwise bila evidence usiichukulie kwa uzito wowote.
Wakenya ukicheza nao watakumaliza kw presha manake sio kw zile tweets za jana aisee
 
Back
Top Bottom