tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ndio manake zipo umbali kama wa 3km hv kutoka chuoSwali moja tu, mabibo ipo under UDSM
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ndio manake zipo umbali kama wa 3km hv kutoka chuoSwali moja tu, mabibo ipo under UDSM
Yuko huko raila went to visit him
Swali moja tu, mabibo ipo under UDSM
Your propagandas are being undone kila uchaotumewazidi mbali kwe afya facilities sioni sababu ya magu kuruka maji akanyage kimba


hakuna leader wa Africa amekimbilia Tanzania kimatibabu, ni shabiki zenu za kitoto tu
, na propaganda kutoka kwa CCM kuwapumbaza tu, wakigonjeka wanakimbilia Kenya leaving the poor you behind in those hospitali uchwara, muonekano inawadanganyia
hospitali sio majengo tu mkuu.

yuko hoko wapi? hospital gani?Yuko huko raila went to visit him
Since late last year wamechangamka, it stopped for some time if u remember, sahi ni work day and night on that section.Hawa jamaa lkn wapo slow sana walai, sijui tatizo ni nn
😂😂😂😂😂😂 ntajie jina la hiyo hospital tulinganishe hapa staki blablaaYour propagandas are being undone kila uchaohakuna leader wa Africa amekimbilia Tanzania kimatibabu, ni shabiki zenu za kitoto tu
, na propaganda kutoka kwa CCM kuwapumbaza tu, wakigonjeka wanakimbilia Kenya leaving the poor you behind in those hospitali uchwara, muonekano inawadanganyia
hospitali sio majengo tu mkuu.
![]()
Sio Mara ya Kwanza kusema magufuli yupo mahututi Hawa
Your propagandas are being undone kila uchaohakuna leader wa Africa amekimbilia Tanzania kimatibabu, ni shabiki zenu za kitoto tu
, na propaganda kutoka kwa CCM kuwapumbaza tu, wakigonjeka wanakimbilia Kenya leaving the poor you behind in those hospitali uchwara, muonekano inawadanganyia
hospitali sio majengo tu mkuu.
![]()

mbongolala atakuaminisha tanzania ni nchi ya asali na maziwa ila facts zikiwekwa hadharani zinawaumbua vibaya sana.....kwanza hili la magufuli waombe sana isiwe ukweliSource: NTV KenyaMagufuli in Nairobi Hospital. We can now do what we want with him. Kenya imeweka Tanzania kwa makwapaView attachment 1721505


Source: NTV Kenya
Nyinyi jamaa zetu.. mnasafar ndefu sana


wako weak sana upande wa intel.Sio mbongo tafadhari ni hao mataga ya ccm ,kubwa jinga .Kuna kipindi pale walisema top officials are being airlifted for covid treatment in Kenya,mataga as usual yalibisha ,yakowapi sasa yanaaibika..wapi kishindo cha awamu ya tano?mbongolala atakuaminisha tanzania ni nchi ya asali na maziwa ila facts zikiwekwa hadharani zinawaumbua vibaya sana.....kwanza hili la magufuli waombe sana isiwe ukweli
Utasikia Tzn inaongoza kwa tiba za kibingwa E.A.C,ati wagonjwa kutoka mataifa jirani wanakuja bongo hakuna tena kupeleka wagonjwa nje ya nchi ikiwemo kwa rafiki wa beberu Kenya
Sasa security tight ya nini hapo Nairobi hospital kama Tzn iko well equiped? Mataga ya humu yameaibika kwa uharo wa kijinga.
Aliyembele muheshimu sio kukenua mdomo umejaa potholes na mapengo kwa dharau za kishamba.
Naona majipu yalikuandama mpaka mnatafsili kitabu kisicho na maandishiUtasikia Tzn inaongoza kwa tiba za kibingwa E.A.C,ati wagonjwa kutoka mataifa jirani wanakuja bongo hakuna tena kupeleka wagonjwa nje ya nchi ikiwemo kwa rafiki wa beberu Kenya
Sasa security tight ya nini hapo Nairobi hospital kama Tzn iko well equiped? Mataga ya humu yameaibika kwa uharo wa kijinga.
Aliyembele muheshimu sio kukenua mdomo umejaa potholes na mapengo kwa dharau za kishamba.
Yote hayo kukufurahisha wewe au? Taarifa za kuzuia mahindi mlikanusha na hizi zimetoka haya kanusheni basi Ili Kenya iwaombe radhi1. mgonjwa wa Covid hatembelewi
2. Magu hawezi kuja nairobi
3. Walinzi wa Rais mna wajua.. wapigeni hata picha, kama mna hio audacity .. au pigeni picha kitu chochote kinachoashiria uwepo wa kitu cha kitanzania huo mf. magar ya TZ, walinzi wa Rais
4. Acheni spinning za kitoto
Muwe mnafuatilia taarifa acha kukurupukaYote hayo kukufurahisha wewe au? Taarifa za kuzuia mahindi mlikanusha na hizi zimetoka haya kanusheni basi Ili Kenya iwaombe radhi