Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ninyi ni watu wa hovyo sana, kamwe hamtoweza kuelewana na jirani yoyote. Kwanini hamfuati taratibu za kutatua migogoro kati ya nchi za EA kama tulivyojiwekea katika EAC?.

Kenya ilipaswa kufuata taratibu zote za kutatua migogoro kwa kuzitaarifa nchi za Tanzania na Uganda kwa maandishi na kutoa "evidences" ili hizo nchi zichukue hatua za kurekebisha hayo mapungufu kabla ya kuzuia hayo mahindi.

Hata Uhuru Kenyatta alikurupuka kuzuia gari na wasafiri toka Somalia na Tanzania wakati wa Corona, Tanzania kupitia mkuu wa mkoa wa Tanga alipozuia Magari toka Kenya kama kulipiza kisasi, mlianza kulialia, tulipopiga marufuku ndege za Kenya kuja Tanzania ndio mkashika adabu, kwanini hamjifunzi kuishi na majirani wenu kwa Amani na kuheshimiana?, Somalia, Uganda, Tanzania, kote huko mnaanzisha migogoro.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Vile mlichoma vifaranga na kutaifisha ng'ombe za wa maasai mlifuata any stipulated EAC protocol?., Quote here, Kenya remained silence, so we have to move in the precedent that your ignorant leadership set. Check yourself first.
 
and yet u show us a render as the ongoing construction has to do with this

2708067_FB_IMG_16150074746403267.jpg
Geza progress ya hii kitu ya Mombasa so far.., facts tu ndio ndakupa, kiswahili nimewaachia nyie.
FB_IMG_16150074746403267.jpg


Few pics have solicited for evidence of works in progress; watch this space Geza., na kuna several across the country tumetulia., Just wait..,
IMG-20210309-WA0005.jpg

IMG-20210309-WA0004.jpg

IMG-20210309-WA0005.jpg

IMG-20210309-WA0006.jpg

48289193847_ea764c2cf7_b.jpg

IMG-20210309-WA0007.jpg

IMG-20210309-WA0003.jpg

IMG_20200625_071547-628x420.jpg
 
Kumbe magufuli wamekuja Nairobi kutibiwa naskia yuko nairobi hospital 🤣 ni swali tu
 
Geza progress ya hii kitu ya Mombasa so far.., facts tu ndio ndakupa, kiswahili nimewaachia nyie.
View attachment 1721397

Few pics have solicited for evidence of works in progress; watch this space Geza., na kuna several across the country tumetulia., Just wait..,
View attachment 1721401
View attachment 1721402
View attachment 1721398
View attachment 1721400
View attachment 1721404
View attachment 1721399
View attachment 1721403
View attachment 1721406
This things are too many nowdays here with roads am sure hands down when mombasa roads that are halfway mombasa will look very diffrent and nice
 
West hawatuwezi na pia waharabu sidhani ata kama wako juu, kuna advantages mingi EAC iko nazo zaidi ya hao wa North, it's just time utaona, East Africa is the next frontier in Africa, liko wazi Kama huwa unatazama business news, the only part of Africa with fastest growth.
One of the biggest advantage we have is our location. The sun is now rising in the east (well, it has always been) but what I mean is the economy shifting east and we are on a strategic position to milk it.
 
This things are too many nowdays here with roads am sure hands down when mombasa roads that are halfway mombasa will look very diffrent and nice
Have landed in Eldoret this evening, bypass just after the airport the flyover is done!, tumepita chini very fast, the taxi guy was driving fast!., Was shocked, coz in late January nimekua hapo kulikua na diversion, now tumepita underpass, sasa ni kutandaza lami imebaki, from the link na ya Eldy/Kisumu to the top., end of 2022 sijui watu watasema nini, hii ya Mombasa ilikua tunyamazie but iliponyoka tu., economic impact yenye iko loading wataendelea kusema tunapika data., coz kuna other projects kimya kimya.,
 
One of the biggest advantage we have is our location. The sun is now rising in the east (well, it has always been) but what I mean is the economy shifting east and we are on strategic position to milk it.
I think now if we join as EA, KE/TZ vs any block or nation in Africa on comparison analysis battle, no one will survive the onslought from the East. hili ni jitu(the real beast), Hapa kwa jukwa tunanyoroshana, wengine wanachukulia personal for nothing, wananuna bure but of a truth sote tumepiga hatua kubwa! Am.proud being an East African in such a time kushuhudia mabadiliko!
 
Magufuli amekimbilia Nairobi kutafuta matibabu ya kovidi. Kwani huko Tanganyika hakuna mahospitali na yanayoweza kutibu kovidi ? Wanasisiemu wote walioko kwenye huu uzi, ebu mwombeeni meko apate kupona 😂😂

 
Magufuli amekimbilia Nairobi kutafuta matibabu ya kovidi. Kwani huko Tanganyika hakuna mahospitali na yanayoweza kutibu kovidi ? Wanasisiemu wote walioko kwenye huu uzi, ebu mwombeeni meko apate kupona

Hope it ain't true!
 
Tanzania hakuna ugonjwa wa kovidi. Hatutaki kusikiza siasa na maneno ya wakoloni kuhusu kovidi😂😂

Habari ndio hio👇👇
 
Hope it ain't true!
It is sad that this guy denied the existence of covid but as soon as he contracted the virus he flies to Nairobi for treatment. Meanwhile ordinary Tanzanians are left feeling the full wrath of the virus, without formal treatment or vaccines.
 
Back
Top Bottom