Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Thats good maana hata hapa EA sanasana ni KE na TZ kwa Afrika nchi inayo nitisha ni SA na hao arabs ila hao western A wakipatikana members tunafungua battle
Rwanda pia wako vizuri. Ghana ukitoa Accra kwingine ushuzi, Kumasi ni kubwa but imekaa kienyeji kweli.
 
Barabra mpya ya sinza 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2B6E6457-D1FE-42A7-A89A-C5310EC9C65D.jpeg
6A6421F3-4162-44A7-9493-4FC34C4F6753.jpeg
8561E3FD-7D49-4452-8E4F-FC2F99B8C75F.jpeg
13C2C899-4D8F-4A5E-9C15-74B787DF9589.jpeg
11AAD567-5E1A-4C40-9048-75F2AD8DDAC6.jpeg
C0EEA58A-9B9E-4BBD-B0A3-48D19610F998.jpeg
 
Inaonesha ni jinsi gani wanamuogopa JPM.

Maana ingekuwa hawamuogopi wala usinge waona wakimtaja taja ovyo na kumzushia zushia.
Mie nlishangaa Sana jamaa kwa ground wanamfagilia Sana magu na utendaji wake wa kazi kiufupi media nyingi za Kenya lazima wamtaje magu🙄🙄
 
Back
Top Bottom